Hata ukipata,utasema bora ya upweke.Kivipi sasa, kwamba sitopata wa kunitoa upweke au ??
Wewe ni jinsia gani?Rudia tena kusoma mkuu,, nimeomba rafiki wa kawaida tu
Sawa mkuu, utampata tu
ACHA UJINGA WEWE SIO MPWEKE ILA UNA UPWIRU MIMI NINA 32 MWAKA HUU NA SIO MPWEKE FOCUS KWENYE MICHONGO YAKO WE BADO BWANA MDOGO SANA FOCUS ON YOUR STUDY WASIKUPE HEADACHE MADEMU PIGA KWANZA KITABUHabari wakuu
Sina mengi ya kusema nilikuwa nahitaji marafiki wa kike wa kubadilishana nao mawazo.
Umri wangu ni miaka 21 soon I'll be making 22, elimu yangu kidato cha sita, kazi nimeajiriwa dereva, dini muislam.
Nahitaji msichana umri kuanzia miaka 18 na kuendelea, mengine sijali
Nguvu moja![]()
Jitahidi kusoma na uelewe kabla ya ku-comment, nani kasema mimi ni mwanafunzi ?ACHA UJINGA WEWE SIO MPWEKE ILA UNA UPWIRU MIMI NINA 32 MWAKA HUU NA SIO MPWEKE FOCUS KWENYE MICHONGO YAKO WE BADO BWANA MDOGO SANA FOCUS ON YOUR STUDY WASIKUPE HEADACHE MADEMU PIGA KWANZA KITABU
Siumesema wewe ni dereva.....basi tuma ambayo ndinga inaonekana kabisa umeiegamia...
![]()




Ndio uombe connectionKijana mdogo ushapata kazi ya udereva..sisi tuna miaka mingi na tunazitafuta hizo
Eh ,ulitaka haja zake kama mwanadamu ampe naniMiaka 21 unasumbuliwa na upweke?
Hawawezi mwaya maana akimpata mmoja nichinjeWakikuudhi huko tuambie shangazi zako tuwaadabishe