Upweke Utaniua

Upweke Utaniua

Habari wakuu

Sina mengi ya kusema nilikuwa nahitaji marafiki wa kike wa kubadilishana nao mawazo.

Umri wangu ni miaka 21 soon I'll be making 22, elimu yangu kidato cha sita, kazi nimeajiriwa dereva, dini muislam.

Nahitaji msichana umri kuanzia miaka 18 na kuendelea, mengine sijali

Nguvu moja
ACHA UJINGA WEWE SIO MPWEKE ILA UNA UPWIRU MIMI NINA 32 MWAKA HUU NA SIO MPWEKE FOCUS KWENYE MICHONGO YAKO WE BADO BWANA MDOGO SANA FOCUS ON YOUR STUDY WASIKUPE HEADACHE MADEMU PIGA KWANZA KITABU
 
ACHA UJINGA WEWE SIO MPWEKE ILA UNA UPWIRU MIMI NINA 32 MWAKA HUU NA SIO MPWEKE FOCUS KWENYE MICHONGO YAKO WE BADO BWANA MDOGO SANA FOCUS ON YOUR STUDY WASIKUPE HEADACHE MADEMU PIGA KWANZA KITABU
Jitahidi kusoma na uelewe kabla ya ku-comment, nani kasema mimi ni mwanafunzi ?
 
Back
Top Bottom