Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,178
- 4,361
Urafiki wa kawaida hauruhusu kufahamiana?Umuhimu wake ni upi, elewa ni urafiki wa kawaida
Urafiki wa kawaida hauruhusu kufahamiana?Umuhimu wake ni upi, elewa ni urafiki wa kawaida
Sasa mbona mimi ni mdogo wako nna miaka 17😂😂😂Hizi bahati za mashangazi mbona mimi hua sizipati....🤣.... mkuu namimi nina miaka 22, nikutumie picha...😜
Dah😂😂Jiongeze ukalelewe na lishangazi hilo....😝
mom pretty mie nimekuelewa achana nae uyoDah😂😂
Domo zegeKijana kwani huko mtaani kwenu hakuna mademu? Mana waliomo humu ndio hawa hawa waliopo kitaani kwenu
Nimeitika mkuu, kuna nini kimejiri hapa kwani...🤨We jamaaa![]()
Mbona unamkandia mwenzio?mom pretty mie nimekuelewa achana nae uyo
Mtoto amejaa upwiru huyu anajifanya eti mpweke....🤣Dah😂😂
mie nataka nikutoo tootooMbona unamkandia mwenzio?
Upwiru ni kitu cha kusumbua vijana siku hizi kweli😂😂huyo ametaka tuMtoto amejaa upwiru huyu anajifanya eti mpweke....🤣
Unataka kumtoa nani😂😂mie nataka nikutoo tootoo
Itakua hataki kujichukulia sheria mkononi babe..😋Upwiru ni kitu cha kusumbua vijana siku hizi kweli😂😂huyo ametaka tu
Anakua anabadilisha lubricants tu😂😂 mara leo futa la nazi, kesho sabuni keshokutwa nzi kwenye mfuko mara mlenda😂😂😂Itakua hataki kujichukulia sheria mkononi babe..😋