Upweke Utaniua

Habari wakuu

Sina mengi ya kusema nilikuwa nahitaji marafiki wa kike wa kubadilishana nao mawazo.

Umri wangu ni miaka 21 soon I'll be making 22, elimu yangu kidato cha sita, kazi nimeajiriwa dereva, dini muislam.

Nahitaji msichana umri kuanzia miaka 18 na kuendelea, mengine sijali

Nguvu moja
Kwanza tuelezee Bandari yetu iliuzwauzwaje?! Cheki na Hamza Johari
 
Back
Top Bottom