Dabodaiga
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 441
- 707
DahSiumesema wewe ni dereva.....basi tuma ambayo ndinga inaonekana kabisa umeiegamia...
![]()


kijana atapata taabu sana
DahSiumesema wewe ni dereva.....basi tuma ambayo ndinga inaonekana kabisa umeiegamia...
![]()


kijana atapata taabu sana
Ndio mkuu upweke hauna umri
Basi sawapole mkuu

Kua na adabu...🤨Au sio, ko bimkubwa una muaga uko kazini.
👉Kumbe una tafuta mashangazi 🙄🤔
Leo nimebahatika with new babe in tonw...😋Tuma na wewe picha na cheti za kuzaliwa tuone kama kweli unamiaka 22,![]()
Sawaa, Nita muonyesha bimkubwa hili🤔🤔🙄Leo nimebahatika with new babe in tonw...😋
Nimesha kutumia pic PM and hopefully utaipenda...😊
Nimesha mwambia ulivyo hauna adabu umedukua akaunti yangu, sasa wewe ndio anakusubiri kesho akiwashe kwa kutuchonganisha...🤣🤣🤣Sawaa, Nita muonyesha bimkubwa hili🤔🤔🙄
Sasa je! ......wahuni walewale Wa Bandari wamekuja na topic za kishenzi kwenye jukwaa la hoja mchanganyiko ili kudivert attention ya vijana wajadiki trivial issues, wasiende jukwaa la siasa. Wanajua vijana wanapoenda Jukwaa la siasa mara kwa mara watakuwa irritated.khaaa![]()
Leo nimebahatika with new babe in tonw...
Nimesha kutumia pic PM and hopefully utaipenda...![]()



Etiii eeeehSasa je! ......wahuni walewale Wa Bandari wamekuja na topic za kishenzi kwenye jukwaa la hoja mchanganyiko ili kudivert attention ya vijana wajadiki trivial issues, wasiende jukwaa la siasa. Wanajua vijana wanapoenda Jukwaa la siasa mara kwa mara watakuwa irritated.


Ndo kawaambie na hao wapumbavu wenzio wanaotaka kuuza Bandari yetu. Usijibu kishoga hapaEtiii eeeeh![]()
Calm downNdo kawaambie na hao wapumbavu wenzio wanaotaka kuuza Bandari yetu. Usijibu kishoga hapa
mbona umepanic utafikiri nchi yako peke yako...hata ukipewa nafasi utabadilisha nini?okayRudia tena kusoma mkuu,, nimeomba rafiki wa kawaida tu