Upweke Utaniua

Upweke Utaniua

XII Tz

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2020
Posts
4,351
Reaction score
7,105
Habari wakuu

Sina mengi ya kusema nilikuwa nahitaji marafiki wa kike wa kubadilishana nao mawazo.

Umri wangu ni miaka 21 soon I'll be making 22, elimu yangu kidato cha sita, kazi nimeajiriwa dereva, dini muislam.

Nahitaji msichana umri kuanzia miaka 18 na kuendelea, mengine sijali

Nguvu moja [emoji881]
 
Back
Top Bottom