dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,675
- 61,120
niko natafuta , mdogo mdogoUoe sasa![]()
niko natafuta , mdogo mdogoUoe sasa![]()
😅 😅 hapananikusaidie kumtafuta?!!
![]()
hapana
wacha nione yaliyomo yamo ? maana sijamwaga sera kitambo sana






simu zimesaidia, hakuna ana kwa ana tena, ahsante mzunguUmesahau had mistari ya tongozo
simu zimesaidia, hakuna ana kwa ana tena, ahsante mzungu
ana kwa ana ni siku ya kuunganisha vikojoleo tu, darn it



huogopi?!!kuogopa nini tenahuogopi?!!
Kwamba ww katika umri huo wa Esther wa Baba Jose wa Mbalizi.... Tyr ni Great SinkerUmri sio kigezo cha kuwa great thinker, unaweza kuwa na miaka yako 45 na bado ukawa pumbavu
Kwamba ww katika umri huo wa Esther wa Baba Jose wa Mbalizi.... Tyr ni Great Sinker





nitamfanya awe mnyongee bureee.





No maraaa waaaaa kiti chako baki nacho
Wanashikiliaga kiuno hao hata nguvu ya kushani huipati ooooh!!
Afu wana kiharufu cha kibeberu






21 yrs anikaushee kizazi mie?? Hata kukomaa hajakomaa, udugu hebu niwacheee bhanaas