Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,732
"eyoo kenny here mr king star 😅" hii nyimbo inaitwaje
Kila la kheriNimekupata
21yrs unakuta unamvimbia mtu hapa Jamiiforums ambaye ana 50yrs.Habari wakuu
Sina mengi ya kusema nilikuwa nahitaji marafiki wa kike wa kubadilishana nao mawazo.
Umri wangu ni miaka 21 soon I'll be making 22, elimu yangu kidato cha sita, kazi nimeajiriwa dereva, dini muislam.
Nahitaji msichana umri kuanzia miaka 18 na kuendelea, mengine sijali
Nguvu moja![]()
nishatoka mie huko, sipo tenaUngana na dronedrake kwenye chama chao hutojutia
😅 amini, niko mbioni kuondoa ukoko rasmiaweeeeeh! Hata siamini!!
amini, niko mbioni kuondoa ukoko rasmi



kwahiyo video nisikutumie ya yule mdadahapana, labda kama unataka mkono uwekewa ogo sawa 🤣 🤣kwahiyo video nisikutumie ya yule mdada
ndo kaja sasa, embu ongeeni naye chemba.Wakikuudhi huko tuambie shangazi zako tuwaadabishe
Nakushauri waombe mods wabadilishe title ya uzi wako na iandikwe ..."UPWIRU UTANIUA"...!Kwahiyo una nishauri nini mkuu
hapana, labda kama unataka mkono uwekewa ogo sawa![]()
![]()












😅 😅 😅 kama ni yako sawa 🙄Basi nimeachaa
![]()
![]()
nimeacha kwa zaidi ya asilimia 95% 🙄Kwahiyo hujaacha?!!!![]()