Upuuzi wa Kocha Pablo wa Simba SC unavyozidi kuisafishia Yanga SC njia ya kuwa Mabingwa wa NBC Premier League kwa 75% mpaka sasa

Yaani Kocha kabisa umeshapoteza Mechi Mbeya halafu Mechi muhimu ya leo Morogoro unakuja Kumjaribu Beki Mbovu Gadiel Michael wakati Mchezaji mahiri Mohammed Hussein Tshabalala unae na hujataka Kumuanzisha?

Yaani Kocha kabisa una Wachezaji very talented and creative kama Chama na Morrison unaacha Kuwaanzisha unawaingiza baadae kabisa?

Yaani kabisa Kocha Sisi Watu wa Mpira tumeshaona kuwa John Boko tayari 'Kwishnei' Kisoka halafu Wewe unamtetea huku ukiendelea Kumpanga Kikosini wakati una Vijana au Wachezaji wengine very Competent wa Kuisadia Timu?

Tayari Kocha uko na Kikosi na umeshaona ukitoa tu Meddie Kagere huna tena Mshambuliaji mwingine unaacha kuuambia Uongozi uachane na Chris Mugalu ili haraka tusajili 'Striker' mpya unabaki kudemadema tu utafikiri Ligi Kuu ya NBC ni ya Babu zako uliowaacha huko Kijijini Kwanu Hispania?

UKWELI MCHUNGU

GENTAMYCINE mpaka sasa nawapa 75% Yanga SC kuwa Mabingwa labda tu 'Complacency' iwagharimu na wasipouchukua Ubingwa nitawadharau kuliko Maelezo kwani Kiuhalisia na Kimazingira wana dalili zote za kuwa Mabingwa.

KWENU WANA SIMBA SC WENZANGU

Ili Yanga SC isiwe Bingwa inatakiwa ama ifungwe Mechi 3 au itoke Sare Mechi 4 je, tukiacha Unafiki na Ushabiki wetu mnadhani kwa Yanga SC hii ya sasa na walivyojipanga Kimkakati ndani na nje ya Uwanja hili litawezekana?

Na kumbukeni wakati huo tunaiombea mabaya haya Yanga SC na Sisi Simba SC tunatakiwa Kushinda tu Mechi zetu zote zilizobaki je, kwa Upuuzi na Ubovu wa Kocha Pablo mnadhani Simba SC yetu hii itaweza kulifanya hili wakati tuna Wachezaji dhaifu na wasio na Uchungu na Simba SC yetu?

LAWAMA KWA VIONGOZI WA SIMBA SC

Uongozi wa Simba SC wa sasa hauko serious na umewekeza zaidi katika Mapato na Biashara lakini siyo Ushindani wa Simba SC Uwanjani.

Wenzetu ( Watani ) zetu wanasajili Majembe ili Kujiimarisha zaidi Kiushindani Sisi kutwa tunahimizwa tu Kuchangia Ujenzi wa Uwanja wetu ili Ujengwe haraka kana kwamba TFF wametufukuza katika Viwanja vilivyopo.

NANI KASEMA HAJI MANARA KWENDA YANGA SC HAKUNA MADHARA YOYOTE KWA SIMBA SC YETU?

Tena Kuondoka kwa Haji Manara Kumetuathiri pakubwa Simba SC kwani alichokifanya Manara ni kuwaambia wana Yanga SC ( Viongozi na Wadhamini ) Siri zote zilizoipa Ubingwa mara Nne ( 4 ) na Yanga SC sasa nao kupitia GSM na Pesa walizonazo wanapita mule mule alikokuwa akipita Simba SC ( hasa Tajiri Mo Dewji ) na kwa Kujidhatiti Kwao kubakia Kileleni mpaka Watangazwe Mabingwa.

MIUJIZA

Najua duniani kuna Maajabu ( Miujiza ) ya kwamba pamoja na Yanga SC kutamba hivi ila nao wanaweza Kuukosa Ubingwa huu na Simba SC akauchukua tena.

Kwa Uchezaji mbovu wa Simba SC wa sasa na Umakini wa Yanga SC ni Mwendawazimu tu pekee atakataa kuwa hadi sasa ( leo ) Yanga SC ana 75% za kuwa Mabingwa.

LAWAMA NA VISINGIZIO VYA KIPUMBAVU

Kuna Watu wanadai Simba SC inaonewa na kwamba Yanga SC wanapendelewa.

GENTAMYCINE nakataa isipokuwa ninachojua tu ni kwamba Yanga SC imesajili Wachezaji wa Matokeo na Simba SC tumesajili Wachezaji wa Maonyesho na 10% kwa baadhi ya Viongozi wa Simba SC.

Upuuzi mwingine ni huu baada ya Kufungwa na Mbeya City na Leo kutoa Suluhu na Mtibwa Sugar FC baadhi ya wana Simba SC wanadai Viwanja vilikuwa Kikwazo.

Nami nauliza kama Viwanja vya Sokoine ( Mbeya ) na Manungu ( Morogoro ) ni Vibovu na Kikwazo Kwetu Klabu yetu ya Simba SC imejenga wapi Uwanja wake?

Na kama Viwanja vilikuwa ni Vibovu vya Mbeya na Morogoro imekuwaje Wapinzani wetu wenye Miguu na Nguvu sawa na Sisi wao wameweza Kuvicheza na wala hawalalamiki au Kudeka kama Sisi?

NINI KIFANYIKE KWA SASA?

Tuache Kuiwazia Yanga SC 24/7 na Kucheza Mechi zao Kifitna ili Wafungwe au Watoke Sare tuweze Kuwakaribia bali tujitathmini wapi tumekosea kwa Msimu huu, tujisahahiihishe na tucheze Mechi zetu Kimkakati na tusiruhusu tena Kufungwa au hata kutoka Sare Mechi nyinginezo kuanzia sasa.

HITIMISHO

Wana Simba SC tukubali tu kuwa Kutesa ni kwa zamu na Watani zetu Yanga SC kwa Msimu huu wapo vyema na walijipanga vvema Kimkakati ( hasa Ndani na Nje ) ya Uwanja.

Viongozi wa Simba SC amkeni haraka!!

Cc: Daudi Mchambuzi
Bocco ifike mahala apishe majukumu ya uwanjani kwa mapenzi mema ya club, hana anachokifanya kwasasa ndani ya uwanja Pablo nae bado hajatulia na kikosi cha ushindi ni kama mtu ambaye anatapatapa ifike mahali tupaze sautii maana tunaoumia ni sisi mashabiki
 
Mashabiki na wanachama wa Simba mtalaumu kila mtu safari hii kuanzia MO, benchi la ufundi, viwanja mpaka TFF na hamtapata suluhisho la matokeo mabovu. Ukweli mchungu ambao wapenda mpira wengi hawaoni ni kuwa kiufundi Simba ipo vizuri sana lakini inakosa mshambuliaji wa kati namba tisa mwenye uwezo na hadhi ya kuchezea timu kubwa kama Simba. Yaani washambuliaji wa Simba wote ni kama wamepigwa "super glue" mabeki wa timu pinzani wala hawapati shida kila mipira ya juu ikija wanaocheza wao pamoja na urefu walio nao washambuliaji wa Simba. Yaani mabeki wa timu pinzani hawapati kashi kashi kabisa. Fowadi za Simba Kagere, Mugalu na Boko wamekuwa baridi kweli kweli.

Na kama viongozi wa Simba hasa kamati ya usajili na kamati ya ufundi wangekuwa waungwana wangetoka hadaharani bila kushurutishwa kuwaomba msamaha wapenzi na mashabiki wa Simba kwa kushindwa kusajili mshambuliaji wa maana dirisha kubwa na mbaya zaidi wakarudia kosa lile lile wakati dirisha dogo. Nilitoa maoni yangu hapa kabla ya dirisha kubwa na dogo pia kuwa Simba wanapaswa kuachana na mshambuliaji mmoja wa kimataifa kati ya Kagere au Mugalu kadiri wao watakavyoona inafaa halafu walete mshambuliaji mmoja mkali zaidi yao. Nikaenda mbali kuwaambia watafute mbadala wa muda mrefu wa John Boko kwa aidha kumsajili Lusajo au wampandishe Andrew Michael wa Simba "B" ili apate uzoefu wakati huo Boko atumike kwa dakika zisizozidi ishirini uwanjani. Na msimu ukiisha Boko angehamishiwa kwenye benchi la ufundi au majukumu mengine yoyote ndani ya Simba kutokana na mchango wake mkubwa kwa Simba japo amekaa muda mfupi Simba

Kuna watu hawapa eti wanamtaja Kagere kwa kuwa tu alikuwa mfungaji bora miaka miwili mitatu iliyopita. Hivi unamfananisha Kagere huyu wa sasa na yule aliyefika tu Simba kutoka Gor Mahia? Kagere wa wakati ule alikuwa akiwekewa mpira kwenye njia akimlalia beki basi unaona jicho moja limefungwa mnarudi kati. Na alikuwa kila saa yupo kwa kipa wa timu pinzani hata akirudishiwa mpira na beki ilikuwa lazima ahakikishe huyo kipa kaudaka au mpira umetoka na alishawahi kufunga magoli mengi kwa mtindo huo. Kiufupi alikuwa na pumzi, nguvu na alikuwa hakati tamaa kirahisi. Tatizo lingine kubwa sana kwa Kagere ni "control" chumba. Hawezi kutuliza mpira vizuri wala kupangua safu ya ulinzi ya timu pinzani. Na sasa ana hali ngumu zaidi kwa sababu mabeki laini laini aliowakuta miaka miwili mitatu hawapo tena. Sasa hivi kwenye ligi inatakiwa fowadi mwenye kasi, control na uwezo mkubwa wa kupangua safu ya ulinzi ya timu pinzani ile habari ya kuwekewa kwenye njia we unamilza imeshapitwa na wakati kwenye ligi yetu. Mabeki hata wa timu ndogo kwenye ligi yetu wote sasa wameng'ata ndimu.

Kwa Boko kwa kweli umri na majeraha ya mara kwa mara yameathiri sana kiwango chake. Na toka aliporudi uwanjani amekumbana na presha kubwa ya mashabiki kiasi imemuathiri kisaikolojia kwa sababu anataka kuwaonyesha mashabiki wake kuwa hajaisha matokeo yake ndio anaharibu zaidi. Mimi naamini Boko kaisha lakini sio kwa kiwango hiki anachokionyesha. Na hili linathibitisha kuwa Simba haina mtaalamu wa saikolojia kwa ajili ya wachezaji na hata kama yupo basi ana uwezo mdogo sana. Boko akitulia kidogo bado atafunga lakini si kwa kiwango cha misimu iliyopita.

Mugalu huyu katika washambuliaji wote wa Simba ndiye anasikitisha kweli. Jamaa ana control, nguvu, pumzi, umbo zuri, urefu unaotakiwa kwa mshmbuliaji wa kati yaani kiufupi amekamilika hasa na kila kitu anafanya kwa usahihi uwanjani kwa asilimia zote lakini sasa linapokuja suala la kutumbukiza mpira golini ambalo ndio jukumu mama la mshambuliaji nyoyote jamaa haoni goli. Sijui kalogwa? Mbaya zaidi Mugalu alipofika alithibitisha uwezo kwa kufunga kwa mashuti ya miguu yote na hata kwa kichwa. Sasa sijui anakwama wapi.

Mpaka sasa nashindwa kabisa kuelewa ni kwanini kamati ya usajili/ufundi hawakuona tatizo hili safu ya ushambuliaji ya Simba toka msimu uliopita wakati kwa mtu wa kawaida anayefuatilia mpira alikuwa anona hilo tatizo? Kwa hili inabidi hizo kamati zijitathmini sana uwezo wao. Kwa sabau suala kubwa sio tu kwa kuwa msimu uliopita Simba ilikuwa inashinda walitakiwa kuangalia Simba inapataje magoli yake? Ukiangalia magoli mengi yalikuwa ni "assist" za Chama na Luis au mabeki wa timu pinzani wameenda kuwakaba Chama na Luis ndipo wakina Boko, Mugalu na Kagere walikuwa wanapata nafasi za kufunga kirahisi.
 
Mashabiki na wanachama wa Simba mtalaumu kila mtu safari hii kuanzia MO, benchi la ufundi, viwanja mpaka TFF na hamtapata suluhisho la matokeo mabovu. Ukweli mchungu ambao wapenda mpira wengi hawaoni ni kuwa kiufundi Simba ipo vizuri sana lakini inakosa mshambuliaji wa kati namba tisa mwenye uwezo na hadhi ya kuchezea timu kubwa kama Simba. Yaani washambuliaji wa Simba wote ni kama wamepigwa "super glue" mabeki wa timu pinzani wala hawapati shida kila mipira ya juu ikija wanaocheza wao pamoja na urefu walio nao washambuliaji wa Simba. Yaani mabeki wa timu pinzani hawapati kashi kashi kabisa. Fowadi za Simba Kagere, Mugalu na Boko wamekuwa baridi kweli kweli.

Na kama viongozi wa Simba hasa kamati ya usajili na kamati ya ufundi wangekuwa waungwana wangetoka hadaharani bila kushurutishwa kuwaomba msamaha wapenzi na mashabiki wa Simba kwa kushindwa kusajili mshambuliaji wa maana dirisha kubwa na mbaya zaidi wakarudia kosa lile lile wakati dirisha dogo. Nilitoa maoni yangu hapa kabla ya dirisha kubwa na dogo pia kuwa Simba wanapaswa kuachana na mshambuliaji mmoja wa kimataifa kati ya Kagere au Mugalu kadiri wao watakavyoona inafaa halafu walete mshambuliaji mmoja mkali zaidi yao. Nikaenda mbali kuwaambia watafute mbadala wa muda mrefu wa John Boko kwa aidha kumsajili Lusajo au wampandishe Andrew Michael wa Simba "B" ili apate uzoefu wakati huo Boko atumike kwa dakika zisizozidi ishirini uwanjani. Na msimu ukiisha Boko angehamishiwa kwenye benchi la ufundi au majukumu mengine yoyote ndani ya Simba kutokana na mchango wake mkubwa kwa Simba japo amekaa muda mfupi Simba

Kuna watu hawapa eti wanamtaja Kagere kwa kuwa tu alikuwa mfungaji bora miaka miwili mitatu iliyopita. Hivi unamfananisha Kagere huyu wa sasa na yule aliyefika tu Simba kutoka Gor Mahia? Kagere wa wakati ule alikuwa akiwekewa mpira kwenye njia akimlalia beki basi unaona jicho moja limefungwa mnarudi kati. Na alikuwa kila saa yupo kwa kipa wa timu pinzani hata akirudishiwa mpira na beki ilikuwa lazima ahakikishe huyo kipa kaudaka au mpira umetoka na alishawahi kufunga magoli mengi kwa mtindo huo. Kiufupi alikuwa na pumzi, nguvu na alikuwa hakati tamaa kirahisi. Tatizo lingine kubwa sana kwa Kagere ni "control" chumba. Hawezi kutuliza mpira vizuri wala kupangua safu ya ulinzi ya timu pinzani. Na sasa ana hali ngumu zaidi kwa sababu mabeki laini laini aliowakuta miaka miwili mitatu hawapo tena. Sasa hivi kwenye ligi inatakiwa fowadi mwenye kasi, control na uwezo mkubwa wa kupangua safu ya ulinzi ya timu pinzani ile habari ya kuwekewa kwenye njia we unamilza imeshapitwa na wakati kwenye ligi yetu. Mabeki hata wa timu ndogo kwenye ligi yetu wote sasa wameng'ata ndimu.

Kwa Boko kwa kweli umri na majeraha ya mara kwa mara yameathiri sana kiwango chake. Na toka aliporudi uwanjani amekumbana na presha kubwa ya mashabiki kiasi imemuathiri kisaikolojia kwa sababu anataka kuwaonyesha mashabiki wake kuwa hajaisha matokeo yake ndio anaharibu zaidi. Mimi naamini Boko kaisha lakini sio kwa kiwango hiki anachokionyesha. Na hili linathibitisha kuwa Simba haina mtaalamu wa saikolojia kwa ajili ya wachezaji na hata kama yupo basi ana uwezo mdogo sana. Boko akitulia kidogo bado atafunga lakini si kwa kiwango cha misimu iliyopita.

Mugalu huyu katika washambuliaji wote wa Simba ndiye anasikitisha kweli. Jamaa ana control, nguvu, pumzi, umbo zuri, urefu unaotakiwa kwa mshmbuliaji wa kati yaani kiufupi amekamilika hasa na kila kitu anafanya kwa usahihi uwanjani kwa asilimia zote lakini sasa linapokuja suala la kutumbukiza mpira golini ambalo ndio jukumu mama la mshambuliaji nyoyote jamaa haoni goli. Sijui kalogwa? Mbaya zaidi Mugalu alipofika alithibitisha uwezo kwa kufunga kwa mashuti ya miguu yote na hata kwa kichwa. Sasa sijui anakwama wapi.

Mpaka sasa nashindwa kabisa kuelewa ni kwanini kamati ya usajili/ufundi hawakuona tatizo hili safu ya ushambuliaji ya Simba toka msimu uliopita wakati kwa mtu wa kawaida anayefuatilia mpira alikuwa anona hilo tatizo? Kwa hili inabidi hizo kamati zijitathmini sana uwezo wao. Kwa sabau suala kubwa sio tu kwa kuwa msimu uliopita Simba ilikuwa inashinda walitakiwa kuangalia Simba inapataje magoli yake? Ukiangalia magoli mengi yalikuwa ni "assist" za Chama na Luis au mabeki wa timu pinzani wameenda kuwakaba Chama na Luis ndipo wakina Boko, Mugalu na Kagere walikuwa wanapata nafasi za kufunga kirahisi.
Pesa ya kusajili hatuna!
 
Pesa ya kusajili hatuna!
Basi viongozi wangesema tu wazi kuliko kukaa kimya sasa kifo kinawaumbua. Lakini bado walikuwa na uwezo wa kusajili mshambuliaji walau mmoja wa hapa nyumbani angewasaidia sana kuliko hii aibu wanayoipata sasa hivi.
 
Mayele 21
Aucho 22
Kibwana 19
Dickson job 20
Fei toto 20
Sadio 25
Moloko 22
Ushindi 23
Mwamnyeto 21
Mshery 18
Bangala 20
Shaban Djuma 24
Makambo 24
EBU ANGALIA TOFAUTI YA UMRI KATI YA MAKOLO TOURE VS UTOPOLO LAZIMA KUNA MMOJA ATAISHIWA PUMZI TU
Kagere miaka 45

Mugalu 39

Chama 40

Onyango 48

Zimbwe 35

Mkude 38

Mzamiru 40

Dilunga 36

Shikamoo jazz


makolo ubingwa msahau na mmadrada wenu wa mchongo aandae mabag yake kabisa soon mnamtimua
 
ukweli mchungu kama huu ndo unaweza kutuvusha na sio kudanganyana eti vyura wanabebwa, ukiitazama league tangu ianze kiuanamichezo utagundua simba tumebebwa mechi nyingi na uto wamebebwa mechi 1 tu ile ya namungo.

kama kweli viongozi na wapenzi wa simba tunataka kurejea ktk makali yetu ni lazima kuufanyia kazi ukweli mchungu ulioletwa na mtoa mada kwenye chapisho hili.

NB:ubingwa bado hauna mwenyewe ikiwa tutasolve matatizo yetu haraka.
Wewe ni SIMBA kweli?,nina wasiwasi.Je, unaweza kuthibitisha SIMBA kubebwa?.
 
Wewe unatumwa na mihemuko. Haya tupe takwimu Simba kafungwa mara ngapi ili uipe nguvu hoja yako. Vinginevyo na wewe si shabiki wa mpira bali mpiga kelele tu.
Pita kushoto tusipangiane ,pia mm sio shabik maandaz kusifia sifia hata pale timu inaonekana inapwaya ,wewe endelea kusifia na kuishi kwa kukariri Ila kwa mm naona kabisa timu haijitumi pia Haina fowards wa kueleweka.

Hata juz tumekipiga na dar city nadhan umeona akina mugalu na bocco wanavyokosa magoli ya Waz kabisa ambayo wametafuniwa kila kitu.

Ile mechi ya dar city tungekua na fowards wanaoeleweka wale vijana walipaswa wapigwe hata goli 10 Sasa forward inakosa nafas 5 ndipo abahatishe moja na Bado et niendelee kusifia utumbo Kama huo.
Rudi mechi ya kagera tumepata nafas kibao lakin hazikuleta faida wao kagera walipata nafas moja na kutupiga kamoja ,hiyo ndio maana halis ya forward wa kutumainiwa Kama alivyofanya kiiza Ila hao bocco na mugalu siwez wamini et watafanya maajabu msimu huu ,kwavile ushabiki umekuzid endelea kusifia uozo nadhan mwisho wa msimu utaelewa tu Ninachomanisha.
 
Mkuu utanisamehe nimekutusi kimoyomoyo, Kagere yupi ambaye unamsemea hapa? Huyu huyu top scorer kwa misimu miwili mfululizo au? Huyu huyu aliyekuwa anatokea bench halafu akamaliza na goli 13 au?

Kagere sio tatizo, tatizo ni anaocheza nao, kutoka Okwi, Chama, Miquison mpaka kuwekewa winger Kibu na wakina Dilunga bila shaka ushaona tofauti?

Cha mwisho nikukumbushe tu Kagere ndio top scorer wa Simba msimu huu, acha mihemko.
Yes kagere Ni afadhali Kati ya mugalu na bocco lakin kwa Simba ambayo inaimbwa pia haipaswi kuwa na forward mzee Kama kagere wakat wake umepita .
Kagere Ni mzur akitafuniwa Ni vile bahat yake chama karud so naamin ataanza kutupia lakin bocco na mugalu hata wakitafuniwa Bado wanashindwa kufunga ,.
Pia kumwongelea kagere haimanishi nimembeza no ishu Ni kwamba kwa Simba inayotakiwa iwe hapaswi kuwa Simba .
Una ndoto za nusu fainal shirikisho alafu kagere ,mugalu na bocco ndio uwategemee kupambana na damu changa au timu zenye wachezaji wa maana? Rejea game ya Zambia nadhan utanielewa
 
Mashabiki na wanachama wa Simba mtalaumu kila mtu safari hii kuanzia MO, benchi la ufundi, viwanja mpaka TFF na hamtapata suluhisho la matokeo mabovu. Ukweli mchungu ambao wapenda mpira wengi hawaoni ni kuwa kiufundi Simba ipo vizuri sana lakini inakosa mshambuliaji wa kati namba tisa mwenye uwezo na hadhi ya kuchezea timu kubwa kama Simba. Yaani washambuliaji wa Simba wote ni kama wamepigwa "super glue" mabeki wa timu pinzani wala hawapati shida kila mipira ya juu ikija wanaocheza wao pamoja na urefu walio nao washambuliaji wa Simba. Yaani mabeki wa timu pinzani hawapati kashi kashi kabisa. Fowadi za Simba Kagere, Mugalu na Boko wamekuwa baridi kweli kweli.

Na kama viongozi wa Simba hasa kamati ya usajili na kamati ya ufundi wangekuwa waungwana wangetoka hadaharani bila kushurutishwa kuwaomba msamaha wapenzi na mashabiki wa Simba kwa kushindwa kusajili mshambuliaji wa maana dirisha kubwa na mbaya zaidi wakarudia kosa lile lile wakati dirisha dogo. Nilitoa maoni yangu hapa kabla ya dirisha kubwa na dogo pia kuwa Simba wanapaswa kuachana na mshambuliaji mmoja wa kimataifa kati ya Kagere au Mugalu kadiri wao watakavyoona inafaa halafu walete mshambuliaji mmoja mkali zaidi yao. Nikaenda mbali kuwaambia watafute mbadala wa muda mrefu wa John Boko kwa aidha kumsajili Lusajo au wampandishe Andrew Michael wa Simba "B" ili apate uzoefu wakati huo Boko atumike kwa dakika zisizozidi ishirini uwanjani. Na msimu ukiisha Boko angehamishiwa kwenye benchi la ufundi au majukumu mengine yoyote ndani ya Simba kutokana na mchango wake mkubwa kwa Simba japo amekaa muda mfupi Simba

Kuna watu hawapa eti wanamtaja Kagere kwa kuwa tu alikuwa mfungaji bora miaka miwili mitatu iliyopita. Hivi unamfananisha Kagere huyu wa sasa na yule aliyefika tu Simba kutoka Gor Mahia? Kagere wa wakati ule alikuwa akiwekewa mpira kwenye njia akimlalia beki basi unaona jicho moja limefungwa mnarudi kati. Na alikuwa kila saa yupo kwa kipa wa timu pinzani hata akirudishiwa mpira na beki ilikuwa lazima ahakikishe huyo kipa kaudaka au mpira umetoka na alishawahi kufunga magoli mengi kwa mtindo huo. Kiufupi alikuwa na pumzi, nguvu na alikuwa hakati tamaa kirahisi. Tatizo lingine kubwa sana kwa Kagere ni "control" chumba. Hawezi kutuliza mpira vizuri wala kupangua safu ya ulinzi ya timu pinzani. Na sasa ana hali ngumu zaidi kwa sababu mabeki laini laini aliowakuta miaka miwili mitatu hawapo tena. Sasa hivi kwenye ligi inatakiwa fowadi mwenye kasi, control na uwezo mkubwa wa kupangua safu ya ulinzi ya timu pinzani ile habari ya kuwekewa kwenye njia we unamilza imeshapitwa na wakati kwenye ligi yetu. Mabeki hata wa timu ndogo kwenye ligi yetu wote sasa wameng'ata ndimu.

Kwa Boko kwa kweli umri na majeraha ya mara kwa mara yameathiri sana kiwango chake. Na toka aliporudi uwanjani amekumbana na presha kubwa ya mashabiki kiasi imemuathiri kisaikolojia kwa sababu anataka kuwaonyesha mashabiki wake kuwa hajaisha matokeo yake ndio anaharibu zaidi. Mimi naamini Boko kaisha lakini sio kwa kiwango hiki anachokionyesha. Na hili linathibitisha kuwa Simba haina mtaalamu wa saikolojia kwa ajili ya wachezaji na hata kama yupo basi ana uwezo mdogo sana. Boko akitulia kidogo bado atafunga lakini si kwa kiwango cha misimu iliyopita.

Mugalu huyu katika washambuliaji wote wa Simba ndiye anasikitisha kweli. Jamaa ana control, nguvu, pumzi, umbo zuri, urefu unaotakiwa kwa mshmbuliaji wa kati yaani kiufupi amekamilika hasa na kila kitu anafanya kwa usahihi uwanjani kwa asilimia zote lakini sasa linapokuja suala la kutumbukiza mpira golini ambalo ndio jukumu mama la mshambuliaji nyoyote jamaa haoni goli. Sijui kalogwa? Mbaya zaidi Mugalu alipofika alithibitisha uwezo kwa kufunga kwa mashuti ya miguu yote na hata kwa kichwa. Sasa sijui anakwama wapi.

Mpaka sasa nashindwa kabisa kuelewa ni kwanini kamati ya usajili/ufundi hawakuona tatizo hili safu ya ushambuliaji ya Simba toka msimu uliopita wakati kwa mtu wa kawaida anayefuatilia mpira alikuwa anona hilo tatizo? Kwa hili inabidi hizo kamati zijitathmini sana uwezo wao. Kwa sabau suala kubwa sio tu kwa kuwa msimu uliopita Simba ilikuwa inashinda walitakiwa kuangalia Simba inapataje magoli yake? Ukiangalia magoli mengi yalikuwa ni "assist" za Chama na Luis au mabeki wa timu pinzani wameenda kuwakaba Chama na Luis ndipo wakina Boko, Mugalu na Kagere walikuwa wanapata nafasi za kufunga kirahisi.
We mtu Ni mtu wa mpira haswaaa,Kuna jamaa hapo juu kanishambulia kisa nimemsema kagere kuwa Hana maajabu Zaid analeta habar za top scorer yaan analeta historia wakat watu wanataka matokeo Sasa hivi.
Yaan tumsifie kagere kisa et alikuwa kinara wa magoli misimu kadhaa wakat tunaona jahaz linazid kuzama ,Simba hii Ni ya kuzidiwa magoli 11 na yanga ambao walikuwa na ukame wa magoli mpaka pale walipoamua kutambua nakosa yao na kumleta mayele !! Why Wana Simba tunakua wabishi kwenye vitu ambavyo vipo Waz kabisa?
Kagere huyu huyu had control inamsumbua kwa Sasa ,bocco ndio sitak kusema achilia mbali mugalu.

Yaan kwa fowards wetu watatu mwenye unafuu Ni kagere Ila ukweli Ni kwamba Hana viwango vya kuendelea kubakia Simba yenye matamanio ya kufika mbali Zaid ,huwez fika mbali huku unamtegemea kagere kisa amewah kuwa kinara kwa misimu kadhaaa.
Ushabiki ukizid timu yako ikiwa na mapungufu utaona Ni Hali ya kawaida kwa lugha nyepes naweza sema huo Ni upofu na ndio chanzo Cha kuipoteza timu maana mashabik mkisema fulan Bado anao uwezo hata viongoz wanaona aibu kumtoa kwa maslah ya pande zote mbili.
Mwisho wa msimu tukipoteza lawama zitawarudia hao hao viongoz .

Dawa hapa pangua fowards zote za Simba leten fowards hata mmoja wa kigeni alafu tafuta mwingine mzawa kwenye timu za hapa hapa wapo kibao tu wa kuwazid waliopo Sasa Simba ,hizo fowards mbili ya kigeni ya maana na mzawa mmoja wawe wanarotate utaona mafanikio yake .
 
Mashabiki na wanachama wa Simba mtalaumu kila mtu safari hii kuanzia MO, benchi la ufundi, viwanja mpaka TFF na hamtapata suluhisho la matokeo mabovu. Ukweli mchungu ambao wapenda mpira wengi hawaoni ni kuwa kiufundi Simba ipo vizuri sana lakini inakosa mshambuliaji wa kati namba tisa mwenye uwezo na hadhi ya kuchezea timu kubwa kama Simba. Yaani washambuliaji wa Simba wote ni kama wamepigwa "super glue" mabeki wa timu pinzani wala hawapati shida kila mipira ya juu ikija wanaocheza wao pamoja na urefu walio nao washambuliaji wa Simba. Yaani mabeki wa timu pinzani hawapati kashi kashi kabisa. Fowadi za Simba Kagere, Mugalu na Boko wamekuwa baridi kweli kweli.

Na kama viongozi wa Simba hasa kamati ya usajili na kamati ya ufundi wangekuwa waungwana wangetoka hadaharani bila kushurutishwa kuwaomba msamaha wapenzi na mashabiki wa Simba kwa kushindwa kusajili mshambuliaji wa maana dirisha kubwa na mbaya zaidi wakarudia kosa lile lile wakati dirisha dogo. Nilitoa maoni yangu hapa kabla ya dirisha kubwa na dogo pia kuwa Simba wanapaswa kuachana na mshambuliaji mmoja wa kimataifa kati ya Kagere au Mugalu kadiri wao watakavyoona inafaa halafu walete mshambuliaji mmoja mkali zaidi yao. Nikaenda mbali kuwaambia watafute mbadala wa muda mrefu wa John Boko kwa aidha kumsajili Lusajo au wampandishe Andrew Michael wa Simba "B" ili apate uzoefu wakati huo Boko atumike kwa dakika zisizozidi ishirini uwanjani. Na msimu ukiisha Boko angehamishiwa kwenye benchi la ufundi au majukumu mengine yoyote ndani ya Simba kutokana na mchango wake mkubwa kwa Simba japo amekaa muda mfupi Simba

Kuna watu hawapa eti wanamtaja Kagere kwa kuwa tu alikuwa mfungaji bora miaka miwili mitatu iliyopita. Hivi unamfananisha Kagere huyu wa sasa na yule aliyefika tu Simba kutoka Gor Mahia? Kagere wa wakati ule alikuwa akiwekewa mpira kwenye njia akimlalia beki basi unaona jicho moja limefungwa mnarudi kati. Na alikuwa kila saa yupo kwa kipa wa timu pinzani hata akirudishiwa mpira na beki ilikuwa lazima ahakikishe huyo kipa kaudaka au mpira umetoka na alishawahi kufunga magoli mengi kwa mtindo huo. Kiufupi alikuwa na pumzi, nguvu na alikuwa hakati tamaa kirahisi. Tatizo lingine kubwa sana kwa Kagere ni "control" chumba. Hawezi kutuliza mpira vizuri wala kupangua safu ya ulinzi ya timu pinzani. Na sasa ana hali ngumu zaidi kwa sababu mabeki laini laini aliowakuta miaka miwili mitatu hawapo tena. Sasa hivi kwenye ligi inatakiwa fowadi mwenye kasi, control na uwezo mkubwa wa kupangua safu ya ulinzi ya timu pinzani ile habari ya kuwekewa kwenye njia we unamilza imeshapitwa na wakati kwenye ligi yetu. Mabeki hata wa timu ndogo kwenye ligi yetu wote sasa wameng'ata ndimu.

Kwa Boko kwa kweli umri na majeraha ya mara kwa mara yameathiri sana kiwango chake. Na toka aliporudi uwanjani amekumbana na presha kubwa ya mashabiki kiasi imemuathiri kisaikolojia kwa sababu anataka kuwaonyesha mashabiki wake kuwa hajaisha matokeo yake ndio anaharibu zaidi. Mimi naamini Boko kaisha lakini sio kwa kiwango hiki anachokionyesha. Na hili linathibitisha kuwa Simba haina mtaalamu wa saikolojia kwa ajili ya wachezaji na hata kama yupo basi ana uwezo mdogo sana. Boko akitulia kidogo bado atafunga lakini si kwa kiwango cha misimu iliyopita.

Mugalu huyu katika washambuliaji wote wa Simba ndiye anasikitisha kweli. Jamaa ana control, nguvu, pumzi, umbo zuri, urefu unaotakiwa kwa mshmbuliaji wa kati yaani kiufupi amekamilika hasa na kila kitu anafanya kwa usahihi uwanjani kwa asilimia zote lakini sasa linapokuja suala la kutumbukiza mpira golini ambalo ndio jukumu mama la mshambuliaji nyoyote jamaa haoni goli. Sijui kalogwa? Mbaya zaidi Mugalu alipofika alithibitisha uwezo kwa kufunga kwa mashuti ya miguu yote na hata kwa kichwa. Sasa sijui anakwama wapi.

Mpaka sasa nashindwa kabisa kuelewa ni kwanini kamati ya usajili/ufundi hawakuona tatizo hili safu ya ushambuliaji ya Simba toka msimu uliopita wakati kwa mtu wa kawaida anayefuatilia mpira alikuwa anona hilo tatizo? Kwa hili inabidi hizo kamati zijitathmini sana uwezo wao. Kwa sabau suala kubwa sio tu kwa kuwa msimu uliopita Simba ilikuwa inashinda walitakiwa kuangalia Simba inapataje magoli yake? Ukiangalia magoli mengi yalikuwa ni "assist" za Chama na Luis au mabeki wa timu pinzani wameenda kuwakaba Chama na Luis ndipo wakina Boko, Mugalu na Kagere walikuwa wanapata nafasi za kufunga kirahisi.
Halafu Mugalu huwa ananiudhi sana, akikosa goli anatafuna Jojo!
 
Yaani Kocha kabisa umeshapoteza Mechi Mbeya halafu Mechi muhimu ya leo Morogoro unakuja Kumjaribu Beki Mbovu Gadiel Michael wakati Mchezaji mahiri Mohammed Hussein Tshabalala unae na hujataka Kumuanzisha?

Yaani Kocha kabisa una Wachezaji very talented and creative kama Chama na Morrison unaacha Kuwaanzisha unawaingiza baadae kabisa?

Yaani kabisa Kocha Sisi Watu wa Mpira tumeshaona kuwa John Boko tayari 'Kwishnei' Kisoka halafu Wewe unamtetea huku ukiendelea Kumpanga Kikosini wakati una Vijana au Wachezaji wengine very Competent wa Kuisadia Timu?

Tayari Kocha uko na Kikosi na umeshaona ukitoa tu Meddie Kagere huna tena Mshambuliaji mwingine unaacha kuuambia Uongozi uachane na Chris Mugalu ili haraka tusajili 'Striker' mpya unabaki kudemadema tu utafikiri Ligi Kuu ya NBC ni ya Babu zako uliowaacha huko Kijijini Kwanu Hispania?

UKWELI MCHUNGU

GENTAMYCINE mpaka sasa nawapa 75% Yanga SC kuwa Mabingwa labda tu 'Complacency' iwagharimu na wasipouchukua Ubingwa nitawadharau kuliko Maelezo kwani Kiuhalisia na Kimazingira wana dalili zote za kuwa Mabingwa.

KWENU WANA SIMBA SC WENZANGU

Ili Yanga SC isiwe Bingwa inatakiwa ama ifungwe Mechi 3 au itoke Sare Mechi 4 je, tukiacha Unafiki na Ushabiki wetu mnadhani kwa Yanga SC hii ya sasa na walivyojipanga Kimkakati ndani na nje ya Uwanja hili litawezekana?

Na kumbukeni wakati huo tunaiombea mabaya haya Yanga SC na Sisi Simba SC tunatakiwa Kushinda tu Mechi zetu zote zilizobaki je, kwa Upuuzi na Ubovu wa Kocha Pablo mnadhani Simba SC yetu hii itaweza kulifanya hili wakati tuna Wachezaji dhaifu na wasio na Uchungu na Simba SC yetu?

LAWAMA KWA VIONGOZI WA SIMBA SC

Uongozi wa Simba SC wa sasa hauko serious na umewekeza zaidi katika Mapato na Biashara lakini siyo Ushindani wa Simba SC Uwanjani.

Wenzetu ( Watani ) zetu wanasajili Majembe ili Kujiimarisha zaidi Kiushindani Sisi kutwa tunahimizwa tu Kuchangia Ujenzi wa Uwanja wetu ili Ujengwe haraka kana kwamba TFF wametufukuza katika Viwanja vilivyopo.

NANI KASEMA HAJI MANARA KWENDA YANGA SC HAKUNA MADHARA YOYOTE KWA SIMBA SC YETU?

Tena Kuondoka kwa Haji Manara Kumetuathiri pakubwa Simba SC kwani alichokifanya Manara ni kuwaambia wana Yanga SC ( Viongozi na Wadhamini ) Siri zote zilizoipa Ubingwa mara Nne ( 4 ) na Yanga SC sasa nao kupitia GSM na Pesa walizonazo wanapita mule mule alikokuwa akipita Simba SC ( hasa Tajiri Mo Dewji ) na kwa Kujidhatiti Kwao kubakia Kileleni mpaka Watangazwe Mabingwa.

MIUJIZA

Najua duniani kuna Maajabu ( Miujiza ) ya kwamba pamoja na Yanga SC kutamba hivi ila nao wanaweza Kuukosa Ubingwa huu na Simba SC akauchukua tena.

Kwa Uchezaji mbovu wa Simba SC wa sasa na Umakini wa Yanga SC ni Mwendawazimu tu pekee atakataa kuwa hadi sasa ( leo ) Yanga SC ana 75% za kuwa Mabingwa.

LAWAMA NA VISINGIZIO VYA KIPUMBAVU

Kuna Watu wanadai Simba SC inaonewa na kwamba Yanga SC wanapendelewa.

GENTAMYCINE nakataa isipokuwa ninachojua tu ni kwamba Yanga SC imesajili Wachezaji wa Matokeo na Simba SC tumesajili Wachezaji wa Maonyesho na 10% kwa baadhi ya Viongozi wa Simba SC.

Upuuzi mwingine ni huu baada ya Kufungwa na Mbeya City na Leo kutoa Suluhu na Mtibwa Sugar FC baadhi ya wana Simba SC wanadai Viwanja vilikuwa Kikwazo.

Nami nauliza kama Viwanja vya Sokoine ( Mbeya ) na Manungu ( Morogoro ) ni Vibovu na Kikwazo Kwetu Klabu yetu ya Simba SC imejenga wapi Uwanja wake?

Na kama Viwanja vilikuwa ni Vibovu vya Mbeya na Morogoro imekuwaje Wapinzani wetu wenye Miguu na Nguvu sawa na Sisi wao wameweza Kuvicheza na wala hawalalamiki au Kudeka kama Sisi?

NINI KIFANYIKE KWA SASA?

Tuache Kuiwazia Yanga SC 24/7 na Kucheza Mechi zao Kifitna ili Wafungwe au Watoke Sare tuweze Kuwakaribia bali tujitathmini wapi tumekosea kwa Msimu huu, tujisahahiihishe na tucheze Mechi zetu Kimkakati na tusiruhusu tena Kufungwa au hata kutoka Sare Mechi nyinginezo kuanzia sasa.

HITIMISHO

Wana Simba SC tukubali tu kuwa Kutesa ni kwa zamu na Watani zetu Yanga SC kwa Msimu huu wapo vyema na walijipanga vvema Kimkakati ( hasa Ndani na Nje ) ya Uwanja.

Viongozi wa Simba SC amkeni haraka!!

Cc: Daudi Mchambuzi
Pamoya! Nguvu Moya!
ILA
Ni kweli Yanga wnapita mulemule alimopita Tajiri!
Hivi Babra ndowakufanya skauting ya wachezaji kuja kucheza Simba!!! Hiiiihiiii!

Zaidi ya mapinduzi tusitegemee kuna kombe jingine labda kombe la CHAI

Hafu hawa wachezaji wakifika dirisha dogo hujituma sana il wasikatwe daaa!
viongozi hawaoni hilo kama wanachezewa mchezo! Baada ya dirisha kufungwa sare moja, vipigo viwili HATARI!!
MANARA alikuwa anawakemea mpaka wachezaji Babra ankula bata na Maselfie huko! Hivi huyu dada amewahi kuwaonya wachezaji au zaidi ni kupaka lipstiki na kujishebedua kwakina Morison!

AMAIZING!!!!
kikosi cha karibu cha miambili milioni kinapigwa na kikosi cha chini ya 5milioni tena mechi mbili mfululizo na sare juu!

Ila Chma kabla ya kuondoka kwenda Berkane alisema, Simba msajili wachezaji wazuri na sio tiamaji tiamaji!

JITAFAKARINI SIMBA!!!!
THE LION!!
 
Back
Top Bottom