Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Aaah, mimi asubuhi hii nitakuwa shambani tu.
Baada ya shughuli za shamba na mifugo kwa wiki nzima, huwa wikiendi baada ya vikao vya kiji kama vipo asubuhi, huwa napenda kwa kipindi hiki kuja shamba nakaa kivulini nikiangalia mazao jinsi yalivochomoza na maendeleo yake.
Hiyo ni kwa wikiendi hizi.
Tofauti na kipindi hiki huwa nakwendaga either kwenye maporomoko ya maji, milimani au kuendesha baiskeli, kote huko lazima nibebe miziki ya kispanish/latino au country musics pia Mang'oma
dah! Naona ume-stick na kilimo.
Thafi thana!