Upo na stress ukiwa wapi? Au una enjoy ukiwa wapi?

Upo na stress ukiwa wapi? Au una enjoy ukiwa wapi?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,586
Reaction score
66,282
Mimi nipo hapa napunguza stress za dunia
1775067817691.jpeg

Kulia ina ruhusiwa ila usikate tamaa maisha hayajawai kuwa mepesi ata kwa matajiri kaza moyo

All in all sita wafundisha vyote sawa 😄

Happy Easter Day in advance
 
nina stress sana mkuu nilivamiwa na vibaka na kunipora pesa za mtaji wangu biashara, inaumiza kwa kweli kesi iko polisi wadhaniwa ninae moja nishamchunguza mwenyewe lakini naona natwanga maji kwa kinu kisubiri kulipwa na huyo kibaka endapo atakamatwa na polisi
 
nina stress sana mkuu nilivamiwa na vibaka na kunipora pesa za mtaji wangu biashara, inaumiza kwa kweli kesi iko polisi wadhaniwa ninae moja nishamchunguza mwenyewe lakini naona natwanga maji kwa kinu kisubiri kulipwa na huyo kibaka endapo atakamatwa na polisi
Daah pole mkuu , ko ndo unasubr huyo kibaka ndo alipe hyo pesa 😁
 
Kuna mkuu wa kazi amezingua big time, nimezinguliwa na jembe kati...mjinga hajielewi huyu ...ake, alafu anajiona kontawa wakati hata pensi hajui inavaliwa aje amekata miguu ya jeans iliyo pakwa kamanyola...
Nitaendelea na simulizi baadae maana nishakula soda mweleka
 
nina stress sana mkuu nilivamiwa na vibaka na kunipora pesa za mtaji wangu biashara, inaumiza kwa kweli kesi iko polisi wadhaniwa ninae moja nishamchunguza mwenyewe lakini naona natwanga maji kwa kinu kisubiri kulipwa na huyo kibaka endapo atakamatwa na polisi
Nenda kwa mganga awe ana jikojolea tu mda wote ata rudisha achana na polisi
 
Back
Top Bottom