unamaanisha uwaraza?
Au unataka ninyoe?
Na kwa nini ninyoe?
niko tandale kwa tumbo nasuka twende kilioni za buku.
niko rum nimejilaza na ipad3 yangu taratiiiiiiiiiiiibu nacheck series ya NIKITAJamani member wa JF,hv unapochangia uzi huu unakuwa ktk mkao na mahala gani?
Me binafsi nipo ndani ya Bajaj naelekea Leaders kucheki Msondo ngoma na Twanga.
Nimekunja 4 wewe je?
Mwaga data zako hapa.
niko rum nimejilaza na ipad3 yangu taratiiiiiiiiiiiibu nacheck series ya NIKITA
Huku najiliwaza na JF
niko tandale kwa tumbo nasuka twende kilioni za buku.
ukinyoa utapendeza, we fanya hvyo hizo shida za saloon sio nzuri..
kalale mdogo wangu...kesho siku mbaya kinoma...
niko kwenye kachumba flan hvi, nimechuchumaa, juu ya vitofali viwili hivi, na nimekunja uso balaa. Karibu 2we wote
mzima ww lknMi nimeona hyo "taratiiiiiiiiiiiiii" tu
Wa arusha jamani,kuna aliyemwona mpenzi wangu jioni hii? Napiga hapokei.