Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Ukweli ni kwamba upinzani hawana nyimbo kabisaaa wala game plan ya maana.
Halafu Mwanakijiji unaumwa au? Naona umebonyeza thanks mfululizo humu, sasa sijui kibao cha mall kimekufanya trigger happy?
wapinzani wana nyimbo ila watu kama Nzoka hamuwezi nyimbo za kizazi kipiya kisichopenda ufisadi ....... lol ...... kwi kwi kwi ... ole wako uanze kucheza wimbo wa mapepe kwenye radio yetu ya jamii huko ......