Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,546
- 2,989
Historia ya Tanzania(Tanganyika) inatuonesha muasisi mkuu wa chama cha TAA hatimae TANU(CCM) ndiye Rais wa awamu ya kwanza wa nchi Mwalimu Nyerere ndiye yeye aliyeanzisha itikadi na falsafa za chama pamoja na utamaduni huu ambao tupo based.
Lakini napata mshangao kuona majukwaa ya upinzani wanatumia ideas za Nyerere wakati ndiye alifikisha nchi hapa kwa chama wanachokipigia kelele.
Alamsiki
Lakini napata mshangao kuona majukwaa ya upinzani wanatumia ideas za Nyerere wakati ndiye alifikisha nchi hapa kwa chama wanachokipigia kelele.
Alamsiki