johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,134
Falsafa za Mwalimu Nyerere ndio zilipelekea kuwapo baadhi ya Tunu
Moja ya falsafa hizo ni aina ya Upinzani tulionao ambapo kwenye kura ya maoni ni 20% ndio walitaka Upinzani
Nyerere akashauri Wengi wapewe wachache Wasikilizwe hivyo CCM ikapewa mali zote za Chama na wale waliotaka Vyama wakapewa Vyama
Katika mfumo huu huwezi kuitoa CCM kwa sababu ndio iliyoshikilia miundombinu yote ya kiulinzi, kiutawala na kisiasa
Hata ije Tume Huru haitafanya lolote kwa CCM kwa sababu Uhuru ni lazima uanzie kwa Watendaji ambao ni kichaa tu anaweza kuwatoa nje ya CCM
Kiukweli katika mfumo huu wa Vyama vingi Nyerere alituweka njia panda, Je Wananchi wa Leo wanahitaji Upinzani?
Viongozi wa Upinzani wametutia moyo kwa matendo yao?
Ni Kweli Vyama vya Upinzani vinatetea Wananchi au viko kiulaji (asali) zaidi?
Kwaresma njema!
Moja ya falsafa hizo ni aina ya Upinzani tulionao ambapo kwenye kura ya maoni ni 20% ndio walitaka Upinzani
Nyerere akashauri Wengi wapewe wachache Wasikilizwe hivyo CCM ikapewa mali zote za Chama na wale waliotaka Vyama wakapewa Vyama
Katika mfumo huu huwezi kuitoa CCM kwa sababu ndio iliyoshikilia miundombinu yote ya kiulinzi, kiutawala na kisiasa
Hata ije Tume Huru haitafanya lolote kwa CCM kwa sababu Uhuru ni lazima uanzie kwa Watendaji ambao ni kichaa tu anaweza kuwatoa nje ya CCM
Kiukweli katika mfumo huu wa Vyama vingi Nyerere alituweka njia panda, Je Wananchi wa Leo wanahitaji Upinzani?
Viongozi wa Upinzani wametutia moyo kwa matendo yao?
Ni Kweli Vyama vya Upinzani vinatetea Wananchi au viko kiulaji (asali) zaidi?
Kwaresma njema!