Maoni yangu baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vijiji

Nicholas J Clinton

JF-Expert Member
Mar 13, 2014
877
486
Pamoja na vyama vya upinzani kugomea uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji chama cha Mapinduzi kimeamua kufanya uchaguzi huo ambao wao wanasema ni halali na kwa namna hiyo wameshinda uchaguzi kwa 99.9% Chini ya mbabe wa chama chao Rsis Magufuli.

Sisi ambao hatuamini katika itikadi ya chama cha Mapinduzi tumebaguliwa kwa kunyimwa haki yetu ya kushiriki uchaguzi huu ambao ni wa umma wa Tanzania. Pamoja na Serikali ya Rais Magufuli kuvifunga vyama vya upinzani mikono na miguu kwa miaka minne na kuwa nunua viongozi kadhaa wa upinzani lakini bado CCM imekimbia kufanya uchaguzi wa haki na huru.

Hii ni aibu kwa CCM kinachoimba wimbo wa kukubalika miongoni mwa Watanzania wengi ila kwa hili imekimbia kufanya uchaguzi wa haki na huru.

Baada ya CCM legelege ya awamu ya tano kufanya uhuni, uzwazwa, ujinga na umbumbumbu , upuuzi na ushenzi huo wote, Balozi za Marekani na Uingereza wamelaani vikali namna ya uchaguzi ulivyokiuka haki za msingi. Na nimesikia Waziri wa OR - TAMISEMI Ndugu Jafo kawajibu hao Mabeberu sijui kajibu nini? Katibu mkuu wa CCM Dr Bashir Ally yuko Zanzibar akitangaza ushindi wa kishindo wa CCM na anasema vyama vya upinzani vitakufa moja baada ya kingine huu ni utapiamlo wa akili au kifadulo cha fikira!

Hivyo basi, Chini ya Mbabe Rais Magufuli CCM wamefanya uchaguzi tutake tusitake hiyo imepita tusubili 2020! Sasa najiuliza ni kweli Upinzani na asasi nyingine za kiraia tumekubali hali hii iende hivi hivi? Najiuliza ni kweli hatuna cha kufanya ili kulinda Demokrasia japo kwa kidogo hiki? Ni kweli sisi Upinzani tumeamua kutoa matamko na vitisho kwa CCM bila kuchukua atua zaidi?

Ni kweli sisi tulio wengi tumeufyata hatuna ubavu wa kupambana na CCM? Je kweli tumeamua kuendeshwa na CCM mputamputa bila kuchukua hatua za kulinda uhuru wetu na Demokrasia? Vipi CCM wanatuanaje kwa sasa bada ya kuwaogopa na kufanya uchaguzi peke yao na kujitangaza washindi?

Na je tutaogopa mpaka lini kuulinda uhuru na Demokrasia? tangu hapo nyuma siyo kuwa tulikuwa na Demokrasia komavu hapana ila tumeshindwa kuilinda hata kwa hiki kidogo!

NINI TUFANYE SASA?

Ni wazi Rais Magufuli ni Mbabe by Personality hii ndiyo ulka yake tutake tusitake ndivyo alivyo tu, mimi nafikiri anaitaji kudhibitiwa mapema kabla ya kipindi chake cha pili kama atafanikiwa kuwa Mkuu wa Nchi kwa mara nyingine. Nasema tumdhibiti Rais Magufuli, nasema tena tumdhibiti Rais Magufuli kwa kibri chake cha uzima ni vigumu sasa kusikia malalamiko dhidi ya upinzani kwa serikali yake kadamizi kwa upinzani na vyombo vya habari.

Rais Magufuli hatasikia kabisa wala hasikii kabisa kaziba masikio hasikii na hii ni hatari kwa kiongozi hasiyependa kusilikiliza wengine hasa wapinzani wake zaidi ya kutaka kuwaangamiza wasiwepo kabisa. Kwa Hulka ya Rais wetu hapendi Upinzani kabisa.

Nafikiri haya yafanyike ili kulinda uhuru na Demokrasia Nchini
Mosi: Upinzani tuombe malidhiano na Serikali ya CCM, ili Uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji urudiwe na Umma upate haki ya kuchagua kwa uhuru viongozi wanaowataka kutoka vyama mbalimbli vya siasa.

Pili: Ni njia ya moto, jasho, machozi na damu kutaka mabadiliko ya lazima ya Tume huru ya uchaguzi Tanzania kabla ya uchaguzi wa 2020 kama tukishindwa hapa tujue 2020 wabunge wa upinzani watanyanganywa viti vyao au ushindi wao kwa nguvu. Hatuna chaguo zaidi ya kuchagua hili kama njia ya amani ikishindikana. Rais wetu hapendi Upinzani nasema tena hapendi upinzani na wala hasikii malalamiko yetu kabisa.

Tatu: Na hii ni muhimu sana kwa Watanzania wote jasho, machozi na misukosuko na kwa lazima CCM na serikali yake watake wasitake tudai katiba mpya ya Umma Wa Tanzania, Rais Magufuli ni mbabe hatakubali hili kutokea kwenye utawala wake kwa kisingizio cha kuleta maendeleo, lakini ni lazima Watanzania tumlazimishe Rais Magufuli kuendeleza mchakato wa katiba mpya, kwa sababu yupo hapo halipo kwa kuajiriwa na Watanzania.

Haya yote yanahitaji mshikamano Wa Vyama vya siasa, Asasi za kiraia, viongozi wa dini na vyombo vya habari. Tuache tabia ya kuwategemea Mataifa ya wazungu kuwawekea vikazwo vya kiuchumi Viongozi wetu pale wanapokiuka haki za msingi za binadamu, tunyanyuke kwa miguu yetu na kupigania haki zetu ambazo zinaminywa makusudi na viongozi walevi wa madaraka.

Taifa litajengwa na sisi sote bili ya mtu kuachwa nyuma lazima tuamue kusonga mbele na kukataa dhuruma kutoka kwa viongozi wetu wanaojitwika mwanvuli wa maendeleo kwa kuwakandamiza wengine.

Ni wakati tuchukue hatua hili kulinda uhuru na Demokrasia Nchini.

Imeandaliwa na Nicolas Jovine Clinton
Kaimu M/Kiti wa Vijana NCCR - MAGEUZI Taifa.
Dar Es Salaam
"PAMOJA TUTASHINDA"
 
Hakuna maridhiano. Hamuwezi kukaa naye meza moja.
Tunahitaji hoja mbadala kabisa.

Wakati utawala wa Rumi ya upapa zama za 1700 ulivyokolea huko ulaya na haki za watu zikiporwa yaliibuka makundi muhimu ya waliokuwa na hoja mbadala.
1. Wanamatengenezo. Hawa waliamini kuna mambo baadhi yanatakiwa yarekebishwe na kanisa. Walijitoa maisha kusema ukweli kuhusu kanisa. Awali wao walitaka marekebisho ya mfumo ila si kuuondoa au kujiondoa ila baadaye ndo makanisa ya leo

2. Wanasiasa. Hawa walileta hoja ya kukana mamlaka ya upapa na wafalme. Wakafanya mapinduzi na mwishoe wakamkamata papa.

Kwa namna tofauti ila waliweza kubadilisha mifumo yao.
 
Hongera sana Nico, mna hoja za msingi sana,tutafakari pamoja.
Wazo mbadala pia ninavyo amini wapo wana ccm wengi hawapendi huu upuuzi.Tutoe rai wale wote waliopitishwa kwa mfumo huu haramu wajiuzulu kwa maslahi makubwa ya umoja na ustawi wa taifa letu.
Italeta somo kubwa sana haijalishi idadi yao.
 
Niliwahi kuandika huko nyuma nikauliza swali how do you deal with an insane leader? Kusema ukweli kabisa kwa imani yangu siamini kabisa kwamba Magufuli nut za kichwa chake zimekaza 100%, naamini kama zimekaza ni may be 60%! Hii inamfanya kuwa binadamu asiye kuwa wa kawaida, the guy is irrational, insane, erratic and heartless. So kama mnatafuta namna ya kudeal na huyu mtu si kwenda kwa busara za kibinadamu, lugha pekee anayoweza kuielewa ni matumizi ya nguvu. Tunatumia nguvu kwa namna gani that is another issue.
 
Uliposema tu mnataka maridhiano na ccm nikaona hata huko kwenye chama chako wewe ni liability.

Serikali ya ccm imeamua kuzuia shughuli za vyama vya siasa kwa makusudi na kinyume cha katiba wewe unataka ukaridhiane nao kwa lipi?

Haki haiombwi nyie viongozi uchwara. double R,
 
Hivi mkuu ni Wewe ulisimamishwa chuoni pale IFM? Nakumbuka ulikuwa kiongozi mzuri lakini kina Membe enzi hizo walitengeneza figisu kuwa wewe unaendekeza siasa chuoni kwa kumuunga Lowasa wa CCM enzi zile! Ni wewe au?
 
Pamoja na vyama vya upinzani kugomea uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji chama cha Mapinduzi kimeamua kufanya uchaguzi huo ambao wao wanasema ni halali na kwa namna hiyo wameshinda uchaguzi kwa 99.9% Chini ya mbabe wa chama chao Rsis Magufuli.

Sisi ambao hatuamini katika itikadi ya chama cha Mapinduzi tumebaguliwa kwa kunyimwa haki yetu ya kushiriki uchaguzi huu ambao ni wa umma wa Tanzania. Pamoja na Serikali ya Rais Magufuli kuvifunga vyama vya upinzani mikono na miguu kwa miaka minne na kuwa nunua viongozi kadhaa wa upinzani lakini bado CCM imekimbia kufanya uchaguzi wa haki na huru.

Hii ni aibu kwa CCM kinachoimba wimbo wa kukubalika miongoni mwa Watanzania wengi ila kwa hili imekimbia kufanya uchaguzi wa haki na huru.

Baada ya CCM legelege ya awamu ya tano kufanya uhuni, uzwazwa, ujinga na umbumbumbu , upuuzi na ushenzi huo wote, Balozi za Marekani na Uingereza wamelaani vikali namna ya uchaguzi ulivyokiuka haki za msingi. Na nimesikia Waziri wa OR - TAMISEMI Ndugu Jafo kawajibu hao Mabeberu sijui kajibu nini? Katibu mkuu wa CCM Dr Bashir Ally yuko Zanzibar akitangaza ushindi wa kishindo wa CCM na anasema vyama vya upinzani vitakufa moja baada ya kingine huu ni utapiamlo wa akili au kifadulo cha fikira!

Hivyo basi, Chini ya Mbabe Rais Magufuli CCM wamefanya uchaguzi tutake tusitake hiyo imepita tusubili 2020! Sasa najiuliza ni kweli Upinzani na asasi nyingine za kiraia tumekubali hali hii iende hivi hivi? Najiuliza ni kweli hatuna cha kufanya ili kulinda Demokrasia japo kwa kidogo hiki? Ni kweli sisi Upinzani tumeamua kutoa matamko na vitisho kwa CCM bila kuchukua atua zaidi?

Ni kweli sisi tulio wengi tumeufyata hatuna ubavu wa kupambana na CCM? Je kweli tumeamua kuendeshwa na CCM mputamputa bila kuchukua hatua za kulinda uhuru wetu na Demokrasia? Vipi CCM wanatuanaje kwa sasa bada ya kuwaogopa na kufanya uchaguzi peke yao na kujitangaza washindi?

Na je tutaogopa mpaka lini kuulinda uhuru na Demokrasia? tangu hapo nyuma siyo kuwa tulikuwa na Demokrasia komavu hapana ila tumeshindwa kuilinda hata kwa hiki kidogo!

NINI TUFANYE SASA?

Ni wazi Rais Magufuli ni Mbabe by Personality hii ndiyo ulka yake tutake tusitake ndivyo alivyo tu, mimi nafikiri anaitaji kudhibitiwa mapema kabla ya kipindi chake cha pili kama atafanikiwa kuwa Mkuu wa Nchi kwa mara nyingine. Nasema tumdhibiti Rais Magufuli, nasema tena tumdhibiti Rais Magufuli kwa kibri chake cha uzima ni vigumu sasa kusikia malalamiko dhidi ya upinzani kwa serikali yake kadamizi kwa upinzani na vyombo vya habari.

Rais Magufuli hatasikia kabisa wala hasikii kabisa kaziba masikio hasikii na hii ni hatari kwa kiongozi hasiyependa kusilikiliza wengine hasa wapinzani wake zaidi ya kutaka kuwaangamiza wasiwepo kabisa. Kwa Hulka ya Rais wetu hapendi Upinzani kabisa.

Nafikiri haya yafanyike ili kulinda uhuru na Demokrasia Nchini
Mosi: Upinzani tuombe malidhiano na Serikali ya CCM, ili Uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji urudiwe na Umma upate haki ya kuchagua kwa uhuru viongozi wanaowataka kutoka vyama mbalimbli vya siasa.

Pili: Ni njia ya moto, jasho, machozi na damu kutaka mabadiliko ya lazima ya Tume huru ya uchaguzi Tanzania kabla ya uchaguzi wa 2020 kama tukishindwa hapa tujue 2020 wabunge wa upinzani watanyanganywa viti vyao au ushindi wao kwa nguvu. Hatuna chaguo zaidi ya kuchagua hili kama njia ya amani ikishindikana. Rais wetu hapendi Upinzani nasema tena hapendi upinzani na wala hasikii malalamiko yetu kabisa.

Tatu: Na hii ni muhimu sana kwa Watanzania wote jasho, machozi na misukosuko na kwa lazima CCM na serikali yake watake wasitake tudai katiba mpya ya Umma Wa Tanzania, Rais Magufuli ni mbabe hatakubali hili kutokea kwenye utawala wake kwa kisingizio cha kuleta maendeleo, lakini ni lazima Watanzania tumlazimishe Rais Magufuli kuendeleza mchakato wa katiba mpya, kwa sababu yupo hapo halipo kwa kuajiriwa na Watanzania.

Haya yote yanahitaji mshikamano Wa Vyama vya siasa, Asasi za kiraia, viongozi wa dini na vyombo vya habari. Tuache tabia ya kuwategemea Mataifa ya wazungu kuwawekea vikazwo vya kiuchumi Viongozi wetu pale wanapokiuka haki za msingi za binadamu, tunyanyuke kwa miguu yetu na kupigania haki zetu ambazo zinaminywa makusudi na viongozi walevi wa madaraka.

Taifa litajengwa na sisi sote bili ya mtu kuachwa nyuma lazima tuamue kusonga mbele na kukataa dhuruma kutoka kwa viongozi wetu wanaojitwika mwanvuli wa maendeleo kwa kuwakandamiza wengine.

Ni wakati tuchukue hatua hili kulinda uhuru na Demokrasia Nchini.

Imeandaliwa na Nicolas Jovine Clinton
Kaimu M/Kiti wa Vijana NCCR - MAGEUZI Taifa.
Dar Es Salaam
"PAMOJA TUTASHINDA"
Hii njia ya sijui maridhiano ilimfaa JK lakini si huyu tuliye naye. Huyu hana ubinadamu kabisa! maumivu ya wengine ndio kicheko chake. Unafikiri ni kwa bahati mbaya huu uchaguzi umevurugwa? Ni agizo lake kwenye mkutano na hawa watendaji. Alitamka wazi kabisa kwamba yeye hapendi kupingwa na hataki kusikia mpinzani kushinda uchaguzi. Akawaambia kwa vile mnaogopa kuja kutangaza mshindi wakati wa kuhesabu kura, basi waengueni kwa kutumia form walizo jaza, basi! Eti maridhiano? Unaridhiana nini na Idd Amin?
 
Pamoja na vyama vya upinzani kugomea uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji chama cha Mapinduzi kimeamua kufanya uchaguzi huo ambao wao wanasema ni halali na kwa namna hiyo wameshinda uchaguzi kwa 99.9% Chini ya mbabe wa chama chao Rsis Magufuli.

Sisi ambao hatuamini katika itikadi ya chama cha Mapinduzi tumebaguliwa kwa kunyimwa haki yetu ya kushiriki uchaguzi huu ambao ni wa umma wa Tanzania. Pamoja na Serikali ya Rais Magufuli kuvifunga vyama vya upinzani mikono na miguu kwa miaka minne na kuwa nunua viongozi kadhaa wa upinzani lakini bado CCM imekimbia kufanya uchaguzi wa haki na huru.

Hii ni aibu kwa CCM kinachoimba wimbo wa kukubalika miongoni mwa Watanzania wengi ila kwa hili imekimbia kufanya uchaguzi wa haki na huru.

Baada ya CCM legelege ya awamu ya tano kufanya uhuni, uzwazwa, ujinga na umbumbumbu , upuuzi na ushenzi huo wote, Balozi za Marekani na Uingereza wamelaani vikali namna ya uchaguzi ulivyokiuka haki za msingi. Na nimesikia Waziri wa OR - TAMISEMI Ndugu Jafo kawajibu hao Mabeberu sijui kajibu nini? Katibu mkuu wa CCM Dr Bashir Ally yuko Zanzibar akitangaza ushindi wa kishindo wa CCM na anasema vyama vya upinzani vitakufa moja baada ya kingine huu ni utapiamlo wa akili au kifadulo cha fikira!

Hivyo basi, Chini ya Mbabe Rais Magufuli CCM wamefanya uchaguzi tutake tusitake hiyo imepita tusubili 2020! Sasa najiuliza ni kweli Upinzani na asasi nyingine za kiraia tumekubali hali hii iende hivi hivi? Najiuliza ni kweli hatuna cha kufanya ili kulinda Demokrasia japo kwa kidogo hiki? Ni kweli sisi Upinzani tumeamua kutoa matamko na vitisho kwa CCM bila kuchukua atua zaidi?

Ni kweli sisi tulio wengi tumeufyata hatuna ubavu wa kupambana na CCM? Je kweli tumeamua kuendeshwa na CCM mputamputa bila kuchukua hatua za kulinda uhuru wetu na Demokrasia? Vipi CCM wanatuanaje kwa sasa bada ya kuwaogopa na kufanya uchaguzi peke yao na kujitangaza washindi?

Na je tutaogopa mpaka lini kuulinda uhuru na Demokrasia? tangu hapo nyuma siyo kuwa tulikuwa na Demokrasia komavu hapana ila tumeshindwa kuilinda hata kwa hiki kidogo!

NINI TUFANYE SASA?

Ni wazi Rais Magufuli ni Mbabe by Personality hii ndiyo ulka yake tutake tusitake ndivyo alivyo tu, mimi nafikiri anaitaji kudhibitiwa mapema kabla ya kipindi chake cha pili kama atafanikiwa kuwa Mkuu wa Nchi kwa mara nyingine. Nasema tumdhibiti Rais Magufuli, nasema tena tumdhibiti Rais Magufuli kwa kibri chake cha uzima ni vigumu sasa kusikia malalamiko dhidi ya upinzani kwa serikali yake kadamizi kwa upinzani na vyombo vya habari.

Rais Magufuli hatasikia kabisa wala hasikii kabisa kaziba masikio hasikii na hii ni hatari kwa kiongozi hasiyependa kusilikiliza wengine hasa wapinzani wake zaidi ya kutaka kuwaangamiza wasiwepo kabisa. Kwa Hulka ya Rais wetu hapendi Upinzani kabisa.

Nafikiri haya yafanyike ili kulinda uhuru na Demokrasia Nchini
Mosi: Upinzani tuombe malidhiano na Serikali ya CCM, ili Uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji urudiwe na Umma upate haki ya kuchagua kwa uhuru viongozi wanaowataka kutoka vyama mbalimbli vya siasa.

Pili: Ni njia ya moto, jasho, machozi na damu kutaka mabadiliko ya lazima ya Tume huru ya uchaguzi Tanzania kabla ya uchaguzi wa 2020 kama tukishindwa hapa tujue 2020 wabunge wa upinzani watanyanganywa viti vyao au ushindi wao kwa nguvu. Hatuna chaguo zaidi ya kuchagua hili kama njia ya amani ikishindikana. Rais wetu hapendi Upinzani nasema tena hapendi upinzani na wala hasikii malalamiko yetu kabisa.

Tatu: Na hii ni muhimu sana kwa Watanzania wote jasho, machozi na misukosuko na kwa lazima CCM na serikali yake watake wasitake tudai katiba mpya ya Umma Wa Tanzania, Rais Magufuli ni mbabe hatakubali hili kutokea kwenye utawala wake kwa kisingizio cha kuleta maendeleo, lakini ni lazima Watanzania tumlazimishe Rais Magufuli kuendeleza mchakato wa katiba mpya, kwa sababu yupo hapo halipo kwa kuajiriwa na Watanzania.

Haya yote yanahitaji mshikamano Wa Vyama vya siasa, Asasi za kiraia, viongozi wa dini na vyombo vya habari. Tuache tabia ya kuwategemea Mataifa ya wazungu kuwawekea vikazwo vya kiuchumi Viongozi wetu pale wanapokiuka haki za msingi za binadamu, tunyanyuke kwa miguu yetu na kupigania haki zetu ambazo zinaminywa makusudi na viongozi walevi wa madaraka.

Taifa litajengwa na sisi sote bili ya mtu kuachwa nyuma lazima tuamue kusonga mbele na kukataa dhuruma kutoka kwa viongozi wetu wanaojitwika mwanvuli wa maendeleo kwa kuwakandamiza wengine.

Ni wakati tuchukue hatua hili kulinda uhuru na Demokrasia Nchini.

Imeandaliwa na Nicolas Jovine Clinton
Kaimu M/Kiti wa Vijana NCCR - MAGEUZI Taifa.
Dar Es Salaam
"PAMOJA TUTASHINDA"
Mkuu umeongea mengi mazuri na kwa mpangilio, ila sahau kabisa kama kuna kitu kinaitwa kurudia uchaguzi labda ndotoni,
Kumbuka pale Zanzibar baada ya CUF kususia uchaguzi ule wa marudio kuna nini kimefuata, lkn kuhusu maridhiano wapinzani na chama tawala hili jambo haliwezekani labada kwa nchi nyingine sio Tanzania ya jpm
 
Niliwahi kuandika huko nyuma nikauliza swali how do you deal with an insane leader? Kusema ukweli kabisa kwa imani yangu siamini kabisa kwamba Magufuli nut za kichwa chake zimekaza 100%, naamini kama zimekaza ni may be 60%! Hii inamfanya kuwa binadamu asiye kuwa wa kawaida, the guy is irrational, insane, erratic and heartless. So kama mnatafuta namna ya kudeal na huyu mtu si kwenda kwa busara za kibinadamu, lugha pekee anayoweza kuielewa ni matumizi ya nguvu. Tunatumia nguvu kwa namna gani that is another issue.
You said it all. Huyu maneno, mijadala, matamko ni kupoteza muda. Inahitajika nguvu ya ziada kweli kweli.
 
Niliwahi kuandika huko nyuma nikauliza swali how do you deal with an insane leader? Kusema ukweli kabisa kwa imani yangu siamini kabisa kwamba Magufuli nut za kichwa chake zimekaza 100%, naamini kama zimekaza ni may be 60%! Hii inamfanya kuwa binadamu asiye kuwa wa kawaida, the guy is irrational, insane, erratic and heartless. So kama mnatafuta namna ya kudeal na huyu mtu si kwenda kwa busara za kibinadamu, lugha pekee anayoweza kuielewa ni matumizi ya nguvu. Tunatumia nguvu kwa namna gani that is another issue.
Umeongea kitu cha maana sana. CCM na machinery zake hawataelewa wanachotaka wananchi mpaka damu ziwatoke masikioni. Wanataka damu imwagike kwa hali na mali
 
We huoni nimeandika mnataka maridhiano. Mimi sipo kwenye vyama. Wasubirie waje
Uliposema tu mnataka maridhiano na ccm nikaona hata huko kwenye chama chako wewe ni liability.

Serikali ya ccm imeamua kuzuia shughuli za vyama vya siasa kwa makusudi na kinyume cha katiba wewe unataka ukaridhiane nao kwa lipi?

Haki haiombwi nyie viongozi uchwara. double R,
 
Ndiyo maana ya kutoa mtazamo wangu. Kwa hulka yake kweli inaitajika nguvu kudeal na Rais Magufuli!
Hakuna maridhiano. Hamuwezi kukaa naye meza moja.
Tunahitaji hoja mbadala kabisa.

Wakati utawala wa Rumi ya upapa zama za 1700 ulivyokolea huko ulaya na haki za watu zikiporwa yaliibuka makundi muhimu ya waliokuwa na hoja mbadala.
1. Wanamatengenezo. Hawa waliamini kuna mambo baadhi yanatakiwa yarekebishwe na kanisa. Walijitoa maisha kusema ukweli kuhusu kanisa. Awali wao walitaka marekebisho ya mfumo ila si kuuondoa au kujiondoa ila baadaye ndo makanisa ya leo

2. Wanasiasa. Hawa walileta hoja ya kukana mamlaka ya upapa na wafalme. Wakafanya mapinduzi na mwishoe wakamkamata papa.

Kwa namna tofauti ila waliweza kubadilisha mifumo yao.
 
Tutangazie tarehe ,onesha na mbinu tunazotakiwa kuzifanya ili tuiludishe heshima ya nchi inayo potezwa na watu wanao jiita madikiteta wenye huruma.
 
Back
Top Bottom