MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,655
- 48,432
Huyu jamaa na makombora yake sikujua naye anaweza kufikwa na huzuni mpaka abubujikwe machozi, akina mama pia nao wajiunga kwenye kulia machozi maana mkuu analia, hii ilikua baada ya kusoma taarifa jinsi uzao unapungua, mama hawazai tena kisa changamoto nyingi.
==================
Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amerekodiwa akilia wakati akiwaomba wanawake wa Korea Kaskazini kuzaa watoto zaidi, Wakati wa Kongamano la Tano la kitaifa la Wanawake lililofanyika mjini Pyongyang,nchini humo.
Ikumbukwe kuwa Idadi ya watoto wanaozaliwa nchini Korea Kaskazini inapungua kwa hivyo Rais Kim amewataka wanawake kuzaa watoto zaidi katika nia ya 'kuimarisha mamlaka ya kitaifa'.
Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong UN false amewasihi wanawake katika nchi hiyo ya Asia Mashariki wazae watoto zaidi na kuwalea kama "wakomunisti," na kulia alipokuwa akitoa hotuba ya hisia mbele ya hadhira iliyojaa hisia.
==================
Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amerekodiwa akilia wakati akiwaomba wanawake wa Korea Kaskazini kuzaa watoto zaidi, Wakati wa Kongamano la Tano la kitaifa la Wanawake lililofanyika mjini Pyongyang,nchini humo.
Ikumbukwe kuwa Idadi ya watoto wanaozaliwa nchini Korea Kaskazini inapungua kwa hivyo Rais Kim amewataka wanawake kuzaa watoto zaidi katika nia ya 'kuimarisha mamlaka ya kitaifa'.
Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong UN false amewasihi wanawake katika nchi hiyo ya Asia Mashariki wazae watoto zaidi na kuwalea kama "wakomunisti," na kulia alipokuwa akitoa hotuba ya hisia mbele ya hadhira iliyojaa hisia.