Beauty lies in the eyes of the beholder.Basi bwana inasemekana Upendo kafall in love na mume wa mke mwenye watoto wawili. Wakaenda South Africa, Upendo akanogewa penzi. Bwana akamwambia nipo radhi nikuoe mke wa pili, Upendo akakataa akasema ana mashetani yanapandaga hayataki uke wenza.
Wee, bwana akajitosa akalala kwa Upendo siku tatu, wanaa wakampa taarifa mkewe akakusanya watoto akapeleka kwa ndugu na vitu vya bwana akatoa nje. Yule bwana akakasirika akachukua watoto na vyake wakahamia kwa Upendo... yani Upendo kanyakua jumla... mke anajuta kumtishia bwana sasa alalama.
Yani Upendo ana mashetani hayataki share ya dushe eti, hii itakuwa sogea tuishi ama itazaa ndoa? Na bwana kasema hamwachi Upendo kwani ana hela nyingi na anajua kubembeleza
Ila hakuna mahali amewahi kusema mapenzi yanamtesa, sie waja ndo wa kupoteza muda kujitia kumjuuua ye yuko zake busy na biashara zake na gym zake kukata mtambi alonaoUpendo namuonea huruma mapenzi yanamtesa na hapo pesa anazo.
Basi bwana inasemekana Upendo kafall in love na mume wa mke mwenye watoto wawili. Wakaenda South Africa, Upendo akanogewa penzi. Bwana akamwambia nipo radhi nikuoe mke wa pili, Upendo akakataa akasema ana mashetani yanapandaga hayataki uke wenza.
Wee, bwana akajitosa akalala kwa Upendo siku tatu, wanaa wakampa taarifa mkewe akakusanya watoto akapeleka kwa ndugu na vitu vya bwana akatoa nje. Yule bwana akakasirika akachukua watoto na vyake wakahamia kwa Upendo... yani Upendo kanyakua jumla... mke anajuta kumtishia bwana sasa alalama.
Yani Upendo ana mashetani hayataki share ya dushe eti, hii itakuwa sogea tuishi ama itazaa ndoa? Na bwana kasema hamwachi Upendo kwani ana hela nyingi na anajua kubembeleza
Picha ya Upendo wa ''Open Kitchen' tafadhali. Unanifahamu fika nilivyo outdated na haya mambo.Upendo namuonea huruma mapenzi yanamtesa na hapo pesa anazo.
Upendo aliwahi kuwa shoga yangu kitambo sana wakati anauza vinyago.Upendo namuonea huruma mapenzi yanamtesa na hapo pesa anazo.
Kupendewa pesa sindo kuteseka kwenyewe?Upendo aliwahi kuwa shoga yangu kitambo sana wakati anauza vinyago.
Mapenzi hayamtesi SEMA hivi kaka zetu wanampendea pesa tu