avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,613
- 15,421
E
Espionage?Watusi infiltration in tz...through politics
Espionage?Watusi infiltration in tz...through politics
Regia mtema umenikumbusha mbali sana paskali nlikuwa namtaniaga sanaAtakuwa yupo kwao Geita,View attachment 3566984
Mimi namkubali sana huyu dada,na kumkubali kwangu,sio kwasababu ni pisi kali,namkubali kwasababu ni contents Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
P
Huyu maisha plus ilimtoa 😄Kanaonekana KATAMU jaman ccm mliopiga mlifaid
Ila.kuhama.chadema.ndio kosa.alofanya
Kipanya atakuwa alipiga hapo maana naye hatari kwa vitoto sahiz anaswal kutubu ya nyumaHuyu maisha plus ilimtoa 😄
Ova
Mh alitok salama kweliAtakuwa yupo kwao Geita,View attachment 3566984
Mimi namkubali sana huyu dada,na kumkubali kwangu,sio kwasababu ni pisi kali,namkubali kwasababu ni contents Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
P
Sasa regia si angekuwa anamuajiri derevaKuna mwenzako Regia Mtema (Mb, R.I.P)..alimuulizia kama wewe! hivi hivi!,
Siku si nyingi akaaga dunia!
Upendo peneza ni njia ya kuelekea kuzimu mkuu!
Ni muda kidogo umepita bila kujua huyu binti Upendo yuko wapi.Nina shida nae sana kuna kazi nataka kufanya nae..namfeel sana huyo binti.
Tafadhali kwa wale mnaofahamu aliko naomba mnijulishe tafadhali.
Asanete sana.
- Regia Mtema
- Replies: 39
- Forum: Celebrities Forum
Lazima umpende, mnatabia inayofanana.Atakuwa yupo kwao Geita,View attachment 3566984
Mimi namkubali sana huyu dada,na kumkubali kwangu,sio kwasababu ni pisi kali,namkubali kwasababu ni contents Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
P
Ni kweli, mimi mwenyewe hizo ndio zangu!, tena ana bahati sana, by the time nakutana, amenikuta mimi ni tayari age go..., vinginevyo...Lazima umpende, mnatabia inayofanana.
Una wivu wewe Dada sijapata kuona. Mwanamke wa Hovyo sana wewe .Sasa hivi kamebakia pua tu kama mshumaa
Wataanza kuidai tena Mtanganyika akiwa madarakani, sasa hivi wako mapumziko kidogo.Umesikia tena Mzanzibar akitaka serikali 3?
Mzee wakwa maslahi ya taifa!Ulipiga?