ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,595
- 127,112
Nyie wengine mnakuwa watamu kupitiliza, huenda jamaa alishindwa kuusahau utamu wa punani..Ukishajielewa hutakiwi uambiwe lets end this relatnshp..unatakiwa ujiongeze tu
Nyie wengine mnakuwa watamu kupitiliza, huenda jamaa alishindwa kuusahau utamu wa punani..Ukishajielewa hutakiwi uambiwe lets end this relatnshp..unatakiwa ujiongeze tu
Ving'ang'anizi si ndo wenye mapenzi ya kweli jamaniiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha ha ashaongea pia na mwanasheria wako ili kuficha urithi kama uliandika yaan tafran tupu bora uwe middle kuliko tajiri
Inatokea sana, hata wewe kuna mwanamke aliyewahi kukupenda unamfanyia vituko vyote bado yeye ndiyo anakuomba msamaha na hata ukimwambia tuachane analia hadi unasema acha nimwache tuu akichoka atasepa. Utabisha ila kuna ukweli.Aisee yaani unamwambia kabisa let's end this na yeye yumo tu? Au wewe mtamu kuliko mcharo [emoji23][emoji23][emoji23]
@hearly unashangaa kama vile Leo ndiyo umesikia haya mambo[emoji17]Huyo bwana. .hata mimi nimeanza kumuhisi hivyo hivyo "" mcharo itakuwa hagusi hapo... haiwezekani agandwe kama ruba kiasi hicho aise
Mwambie. Vitendo tuu vinatosha kukuonyesha hapa sitakiwi.Ukishajielewa hutakiwi uambiwe lets end this relatnshp..unatakiwa ujiongeze tu
[emoji23][emoji23][emoji23]hapo kwa zuzu siyo zuzu , choko siyo choko ndiyo penyewe sasa.Kumjibu mtu kwa Matendo inaumiza zaidi kuliko maneno maana mtu anakua hana uhakika kama unampenda au la. Mwingine anaweza kuwa anawaza kua unampima tu ili uone kama anakupenda... kwahiyo anavumilia akiwa na matumaini labda siku moja utampenda.... mapenzi haya sio mazuri kabisa. Yanafanya mtu anakua zuzu sio zuzu choko sio choko yaani basi tu ilimradi moyo wake uumizwe akaribie kufa kwa presha ndio mtu anastuka kua hapendwi
Chance ya kutendwa?[emoji23][emoji23][emoji23].Hahaha naomba namimi Hiyo chance tafadhali. .Nzi kufia kwenye kidonda ni halali.
kumbe unaweza!Umezionaje?[emoji41]
Wanasema wameletwa duniani kwa kazi moja "kukupenda wewe tuu" hata umuache anang'ang'ana eti hawezi "kumkosea Mungu " kwa kukubali kuachana na wewe[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu ving’ang’anizi aisee mpaka kero tena kubwa sana. Halafu mwenyewe ndiye aliyeharibu. Sitaki ujinga ujinga miye. [emoji41]
Kama unao huwezi kukosa wa kumpa, upendo Ni Kama furaha,ukiwa na furaha hata mpita njia atatajua, huyu mtu anafuraha yeyote atakayetokea mbele yako atahisi tu huyu mtu ana furaha na upendo upo hivo hauna masharti.Ninaoo sema sion wa kumpa[emoji848]
Basi ukipata asie na wivu usilalamike maana utaona kama hakupendiUkishaharibu kikubwa kwa mara ya kwanza ukaomba samahani ukasemehewa siku chache baadaye kosa lile lile tena! [emoji15]
Mtu kakutafuta kakosa anaanza kukokoromea utadhani umeua mtu unashindwa hata kumjibu kumbe ulikuwa kwenye mkutano huna kosa lolote lile. Siku chache tena yale yaleeeee. Wivu ni kitu kizuri sana ila uwe wa kiasi ukipitiliza ni dosari kubwa sana.
Ha hahah hahahahahha ha hamna ni vile kila shetani na mbuyu wake. Ukimfukuza hawezi kuhama maana hana mbuyu mwingine wa kuhamia.Haiwezekani kabisa aisee, cute b una utamu wa hajja, mtu "akimezwa" anatamani abakie huko..teh!!
Wanasema wameletwa duniani kwa kazi moja "kukupenda wewe tuu" hata umuache anang'ang'ana eti hawezi "kumkosea Mungu " kwa kukubali kuachana na wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Kufanyaje kwani?kumbe unaweza!