Upendo ni zawadi

Upendo ni zawadi

Awe nao wa kiasi ila usivuke mipaka ili kuleta mitafaruku isiyohusu kitu hadi inakuwa karaha.

Basi ukipata asie na wivu usilalamike maana utaona kama hakupendi

Uyo kazidisha tu ila ndo anakupenda kweli
 
Kufanyaje kwani?
IMG_20190619_142940_184.JPG
 
Daah! Ni wachache sana wenye kuweza hiyo kitu japo Kitanzania Tanzania Hospitali zetu nazo ni changamoto sababu chukulia tu ile saa ya kuona wagonjwa ikiisha unavyotolewa nduki sasa hii ya kuanza kuonyesha upendo unadhani itawezekana Mkuu.

Kwanza Manesi hawashindwi kusema unamkera mgonjwa na wakakwambia mwache mgonjwa anahitaji kupumzika. 😀😀
 
Daah! Ni wachache sana wenye kuweza hiyo kitu japo Kitanzania Tanzania Hospitali zetu nazo ni changamoto sababu chukulia tu ile saa ya kuona wagonjwa ikiisha unavyotolewa nduki sasa hii ya kuanza kuonyesha upendo unadhani itawezekana Mkuu.

Kwanza Manesi hawashindwi kusema unamkera mgonjwa na wakakwambia mwache mgonjwa anahitaji kupumzika. [emoji3][emoji3]
Tena manesi wabongo walivyo kuwa na midomo michafu kama vyoo vya stendi
 
Back
Top Bottom