Weeh acha hizo Mungu alituepnda akamtoa Yesu.na yeye anatarajia tumfuate Yesu au yeye mwenyewe anatarajia tutende mema.expectation are there mkuu..hukiona mtu anakupenda hana expectation yoyote kwako jua hana upendo wa kweli....expectations are there upende usipendeSasa huo unakua sio upendo bali biashara...! Upendo wa kweli ni unapenda bila kutegemea return yeyote...! Usimpende mtu ili na yeye akupende, au ili upate chochote kutoka kwake, ukifanya hivyo utakua sio upendo wa kweli....