Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
Nimeuliza kwa kuangalia CDM wanaodai usawa kumbe ndani wanafiki watupu.
Mchakato wa viti maalumu CCM upo wazi,CDM kuna usiri sana.
OTIS
unajua cc watanzania tuna matatizo sana! Haujui CDM wanatumia mfumo gani kupata viti maalum unapata waji ujasiri wa kuongelea Ukabila wao, undg wao n.k! Ungejaribu kuchunguza kwanza