Nimerudi jana mkubwa.
Hao unaowataja walipewa viti maalum kama dada yake Tundu?
OTIS
Acha upumbavu wewe unajadili viti maalumu au undugu?
Nimerudi jana mkubwa.
Hao unaowataja walipewa viti maalum kama dada yake Tundu?
OTIS
Mwandishi huyu atoe data ni wanawake wangapi waligombea nafasi hiyo na kura zao zilikuwaje na upendeleo anaosema unatokana na nini.Huyu jamaa hajui kuwa baadhi ya maeneo kumpata mtu wa kugombea Chama cha upinzani ni shida sana na ndiyo maana baadhi ya maeneo kulikuwa hakuna Wagombea wa vyama vya upinzani katika nafasi mbalimbali? Kama kulikuwa hakuna mgombea na nafasi ipo wagombea wanaogopa kwa nini asimshawishi mtu anaemsikiliza achukue nafasi hiyo kuliko kubaki haina mtu.Nafikiri sasa ni wakati wa kuandika kama watu wazima na si magamba ya watuHakuna wanawake wengine wanachama wa CDM mkoa mzima wa Singida zaidi ya dada yake?
OTIS
OTIS unaumwa nini mkuu ama ndo hivyo tena uvccm kutishiwa mmekosa hata kumbukumbu? umeambiwa ukafatilie waliokuwa kwenye shortlist ya CDM mkoani Singida alafu achilia mbali katiba inasemaje kuhusu Mbunge,nenda pia kasome taratibu za CDM ktk kutafuta viongozi wake make ni jukumu la chama na ni kulingana na vigezo vyao wanatafuta viongozi bora na si bora viongozi,ukishapata hyo shortlist nenda ukapitie zile criteria 8 za CDM ktk kupata w.wa v.maalum alafu na wewe pitia taratiiibu baadae utaelewa ni nini kinampa Lissu nafasi ya kupita
Yaweza asiwe navyo vyote 100% lakini akawa anawaongozea wenzie katika hireachy ya standards...tafuta mkuu usisubiri tuje hapa tukuletee,tuna majukumu mengi sie..Ebhoo!
OTIS hoja imesomeka lakini ina mapungufu makubwa,mtoa hoja sidhani kama ulifuatilia njia zilizotumika kupata wabunge wa viti maalum kutoka chadema.na zoezi zima lilifanyika viwanja vya sabasaba(mwl Nyerere)sasa nakupa home work ufuatilie ujue cliteria gani zilitumika.Kingine sijui kama unafahamu kuna wanawake wangapi wasomi walioko chadema na ambao walijitokeza kuomba nafasi,maana elimu ilitumika kama kigezo.na hata hivyo bado wanawake wengi wameathiriwa na upotoshaji wa CCM juu ya vyama vingi,na ndio maana mwitiko bado ni mdogo,sasa wale waliojitokeza na wakameet vjgezo ndo walichaguliwa,ila fuatilia ujue cliteria zilizowekwa kuwapata wabunge viti maalum sio kuropoka na kulete hoja ambazo ni hafifu
Issue sio wanawake wengine, suala ni kuwa vigezo vilivyowekwa walitimiza kwa umbali gani?Hakuna wanawake wengine wanachama wa CDM mkoa mzima wa Singida zaidi ya dada yake?
OTIS
Nyie mnaolalama mko ccm kwa maslahi mnaogopa kuingia upinzani, inapotokea familia chache zimejitoa mhanga kwa hali na mali mnabwabwaja kutaka wangewaita kwa vigezo dhaifu vya kubalance makabila na dini. Wewe umewahi kugombea CDM ukachakachuliwa? Au ni zile kelele za kuhesabu wachaga ndani ya CDM.inamaan jimbo zima msomi ni yeye 2,chadema ni chama cha ukabila,undugu na ukooo,njoo mosh uje ona co unaropoka