Updates zoezi la kuzima simu bandia

Updates zoezi la kuzima simu bandia

Nimejaribu simu yangu fake hapa naona bado inafanya kazi na network inasoma kama kawaiada
Nawasiwasi na vitisho vya TCRA, inaonekana hawakukagua vizuri mitambo yao
Hii simu ni fake kweli na ninajua, hata nikitest kwa 15090 wananiambia ni fake.
baada ya tarehe 16 ina maana zitazimwa 17..... stay tuned
 
Mtakuwa hamjalielewa vizuri tangazo la TCRA, wao wamesema simu zote feki zitapigwa pini leo tarehe 16 saa 6 usiku kuamkia tarehe 17.

Kwa hiyo msijipe moyo, bado 'kitanzi' cha simu hizo feki kipo pale pale.....

umeona wanajipa moyo ,kitanzi kipo pale pale ,nasikitika kuwapoteza wana jf weng
 
Niliwahi kuwa na simu inatumia simcard nne hata ukitoa betri bado iko on. Sijui hali yake ingekuwaje sasa.
 
Hivi hawa watu watazima kweli au wanazingua? Ngoja nisubiri
 
Tusijepe moyo mzigo leo uck unakatwa data kesho ndo tuulizane aya maswali kama utakua umesalimika
 
wamesema zibadilishwe kabla ya tarehe16. baada ya tarehe 16 zitazimwa it means leo usiku saa 6
Amna banha leo ndo mwisho ikifika saa sit we ikifika sita shap angalia mnara mira ya data ipo kwenye sim yako kama ipo bas umepona
 
Nimejaribu simu yangu fake hapa naona bado inafanya kazi na network inasoma kama kawaiada
Nawasiwasi na vitisho vya TCRA, inaonekana hawakukagua vizuri mitambo yao
Hii simu ni fake kweli na ninajua, hata nikitest kwa 15090 wananiambia ni fake.
Mwisho leo saa sita usiku.
Ni kweli kiongozi maana hata hii ambayo mimi ninaitumua ni Fake laki nashanga kuona bado naendelea kufanta mawasiano
 
Nimejaribu simu yangu fake hapa naona bado inafanya kazi na network inasoma kama kawaiada
Nawasiwasi na vitisho vya TCRA, inaonekana hawakukagua vizuri mitambo yao
Hii simu ni fake kweli na ninajua, hata nikitest kwa 15090 wananiambia ni fake.
Mwaka 1999 kuna kitu walibuni wakakiita Y2K
Ati kwamba Computer hazitafanya kazi ikifika mwaka 2000!!!!
......sasa huu ni muendelezo wa hiyo sanaa.
 
Nimemsikiliza mtaalam wa TcRA anasema pin liko pale pale leo saa tano na dakika hamsini na tisa usiku.
Yaani cm fake hazitaiona tar 17.
 
Back
Top Bottom