Updates zoezi la kuzima simu bandia

Updates zoezi la kuzima simu bandia

Hata mtihani wengi wanafeli kwa kutosoma na kuelewa instructions, simu feki zitazimwa tar 16/6/2016 saa 6 usiku, masaa 18 yajayo na sasa ni saa 12:00 asubuhi(kwa kiswahili)
Saa sita usiku itakuwa ni tarehe 17 sio 16 tena
 
Ntakaa macho kushuhudia tukio hilo kihistoria likifanyika keo
 
Nimejaribu simu yake fake hapa naona bado inafanya kazi na network inasoma kama kawaiada

Nawasiwasi na vitisho vya tcra, inaonekana hawakukagua vizuri mitambo yao .

Hii simu ni fake kweli na ninajua, hata nikitest kwa 15090 wananiamvia ni fake.
Muwe mnauliza kwanza kama hamjaelewa, Walisema ni usiku wa tarehe 16/06/2016 kuamkia Ijumaa.
 
Hata mtihani wengi wanafeli kwa kutosoma na kuelewa instructions, simu feki zitazimwa tar 16/6/2016 saa 6 usiku, masaa 18 yajayo na sasa ni saa 12:00 asubuhi(kwa kiswahili)
Ndio maana wengi wanaachwaga na ndege pale airport kwa kutoweza kusoma masaa vizuri...
 
Nimejaribu simu yake fake hapa naona bado inafanya kazi na network inasoma kama kawaiada

Nawasiwasi na vitisho vya tcra, inaonekana hawakukagua vizuri mitambo yao .

Hii simu ni fake kweli na ninajua, hata nikitest kwa 15090 wananiamvia ni fake.
Mwisho ni leo saa sita usiku kuelekea tarehe 17
 
Hata mtihani wengi wanafeli kwa kutosoma na kuelewa instructions, simu feki zitazimwa tar 16/6/2016 saa 6 usiku, masaa 18 yajayo na sasa ni saa 12:00 asubuhi(kwa kiswahili)
Ila sidhani kama TCRA yetu ik na uwezo kitechnolojia kusitopisha simu
 
Hata mtihani wengi wanafeli kwa kutosoma na kuelewa instructions, simu feki zitazimwa tar 16/6/2016 saa 6 usiku, masaa 18 yajayo na sasa ni saa 12:00 asubuhi(kwa kiswahili)
Hiyo ni tarehe 17 sasa, ndio shida ya kuwa Maprofesa kama Lipumba kila sekta ni ubabaishaji tu!
 
images-30.jpeg
 
Nimejaribu simu yangu fake hapa naona bado inafanya kazi na network inasoma kama kawaiada
Nawasiwasi na vitisho vya TCRA, inaonekana hawakukagua vizuri mitambo yao
Hii simu ni fake kweli na ninajua, hata nikitest kwa 15090 wananiambia ni fake.
du! wakuu kimeo changu bado kinapiga kazi inakuwaje hapo
 
Back
Top Bottom