Updates zoezi la kuzima simu bandia

Updates zoezi la kuzima simu bandia

Hivi mkuu ile mitambo ya analogia ilizimwa?

Mimi kwa upande wangu kuzima simu fake ni jambo la muhimu sana kwakua hizi simu zina madhara si tu kiafya bali na katika Usalama katika jamii yetu.
Simu fake zina IMEI fake amabazo hazitambuliki hivyo ni rahisi sana mtu kufanya uharifu bila kugundulika akitumia simu fake.
N.B.
Ila nashauri serikali ingejizatiti zaidi kwenye kuzuia matatizo kuliko kusolve matatizo ambayo tayari yamekwishatokea.
MFYUUU TBS WALIKUWA WAPI NA WAKO WAPI? KWA WATZ HZ SIMU ZITAENDELEA KUTUMIKA TU HAKUNA NINI WALANINI!
 
Mimi natabiri simu hazitazimwa.
Wewee damuchanga...... Simu unazima na kuwasha mwenyewe....wao wanaondoa mawasiliano tu.... Unaweza kusikiliza music,kuangalia video,kupiga picha au hata kumpa mtoto achezeee..... Zitakuwa na matumizi tu...
 
simu yangu ni samsung S6 na nikinunua laki 5 ila ni fake. inauma
 
Wewee damuchanga...... Simu unazima na kuwasha mwenyewe....wao wanaondoa mawasiliano tu.... Unaweza kusikiliza music,kuangalia video,kupiga picha au hata kumpa mtoto achezeee..... Zitakuwa na matumizi tu...
TCRA wamesema watatoa utaratibu wa nini cha kufanya hizo simu kwani hazifai kwa matumizi ya bidamu.
 
Naomba wote tuwe karibu na chanel ya TBC kuanzia saa nne usiku wa leo mpaka pale tutakapo zima hizo simu zenu saa 00 :00.
 
Hata mtihani wengi wanafeli kwa kutosoma na kuelewa instructions, simu feki zitazimwa tar 16/6/2016 saa 6 usiku, masaa 18 yajayo na sasa ni saa 12:00 asubuhi(kwa kiswahili)
Ungewasihi watupe feedback kesho asubuhi tuone!
 
Sukari hakuna, simu imefungwa, kazi utata...digit????
Wenye vibanda vya mpesa na tigo pesa nk waweke utaratibu wa kuwa na simu[handset,cellular phone] ya tahadhari manake kutakuwa na uhitaji huo watu kutembea na laini na sio simu itakuwa ni jambo la kawaida!
 
Wenye vibanda vya mpesa na tigo pesa nk waweke utaratibu wa kuwa na simu[handset,cellular phone] ya tahadhari manake kutakuwa na uhitaji huo watu kutembea na laini na sio simu itakuwa ni jambo la kawaida!
Itabidi niuze ka nokia ka tochi kwa bei ya juu is sukari
 
Anaye taka nimwuzie simu yangu fake anione
1. Inatochi nzuri inamulika hadi umbali wa km 1
2. Ina betri nzuri 2 weeks haija isha
3. Ina music system nzuri kiasi kwamba hata kama una kaparty mtaani huhitaji kukodi muziki.
4. Hata ukitoa betri inaendelea kuwaka
5. ina tatizo mija tuu suati, mlio wake kama bati fulani ivi, ikiita mtaani lazima wakugombeze.
 
Back
Top Bottom