Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,617
- 3,703
MInazi na miembe kadhaa imeangukia nyumba za watuMadhara kiasi gani
MInazi na miembe kadhaa imeangukia nyumba za watuMadhara kiasi gani
Samahani shekh sio akili yangu ni k vantAstakafilular mswalie Mtume mkuu taratibu
Poleni sana ndugu.Huku mafia ndo hatari tupu hakuna aliotoka nje
Poleni sana.Mafia kimeleta madhara
Thanks God Dar kimepita salama- Mungu Walinde wana MorogoroWakuu, ingekuwa vyema tukapata updates za kimbunga Hidaya kama kilivyotabiriwa hapa kwenye huu uzi.
Kwa wale walio mikoa ya pwani hali ikoje uliko? Ni tahadhari gani umechukua?
Kufuatilia hali ya kimbunga hiki mubashara bofya hapa: Live Weather Satellite Map | Zoom Earth
====
Pia soma: TMA: Uwepo wa kimbunga “Hidaya” katika bahari ya Hindi Mashariki mwa Pwani ya Mtwara
Tunamshukuru Mungu hakina nguvu tenaThanks God Dar kimepita salama- Mungu Walinde wana Morogoro
Ameen! Jina la Bwana Lihimidiwe 🙏Tunamshukuru Mungu hakina nguvu tena
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nimecheka sana dadekHivi mlisema haya majina yanapatikanaje?!
Mkuu vipi hali bado ipo vipi huko nyumbani 🥺🥺🥺🥺Huku mafia ndo hatari tupu hakuna aliotoka nje
Mkuu vipi hali ipo vipi kwa sasa huko mafiaMafia kimeleta madhara
Ni taaluma hiyoPamoja na Angalizo la Uwepo wa kimbunga Hidaya bado leo maeneo yaliyotajwa kuna Mbwiga zimepaki gari kibao chini ya Miti. Tujifunze kuchukua tahadhari wajuba.
Wapi!?Hii ni nchi ya ahadi wakuu..Mungu katuvusha kwenye hili pia..mzigo hauna nguvu tena! Zimebaki mvua tu za kawaida .tuombe tu zisiwe na madhara
Weee....usiniambie km ushawahi fika hukoHiki kimbunga kinatoa Sauti kama za barmude triangle