Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,959
- 828,683
- Thread starter
- #101
Kwa wale wa moshi kuweni makini popote pale mlipo jioni hii mida ya saa 12 ambulance mbili toka kia zimeleta wageni toka kia wanasadikika wagonjwa wa corona maaana wamepelekwa lile jengo ambalo halijakamilika I mean jengo kubwa hivyo basi ....mtaarifu ndugu jamaa na rafiki popote pale alipo kama ana mgonjwa mawenzi aende kwa tahadhari ....every one kuwa makini kupigwa busu.. Kukumbatiana...na kunongonezana haswaa sisi wabongo ...corona ni hatari
Jr
Jr
