Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Bill gate alisema huu ugonjwa utakuja kuua billions of people in Africa



nishaijua. Hii nchi, vya siri wanasema, bayana wanaficha.
Kuna nchi fulani ya Afrika mashariki ikigundua uwepo wa huu ugonjwa itaficha wala haitatangaza!![]()
viwanda vyote vilivyopo marekani kweli waishiwe? kuna hoja imejificha...
Cha kuongeza nilichek game ya azam na simba hakuna kusalimiana kwa kushikana mikono lakini kushangilia goli mnashikana mpaka usoni kwa furaha sasa tahadhari iko wap kwenye michezo?
Mm nahisi wangesema ukifunga goli hakuna kushangilia kwa kukaribiana au wavae hata glov zile laini
Sent using Jamii Forums mobile app

Bill gate alisema huu ugonjwa utakuja kuua billions of people in Africa
viwanda vyote vilivyopo marekani kweli waishiwe? kuna hoja imejificha...
Watani hoyee
Sasa hao wazungu wako watamnyonya nani?To me hata Africa ikawa wiped out completely sawa tu! Tuna faida gani?
Mshana Wahehe wanasalimianaje?
