Updates za Corona Tanzania

Updates za Corona Tanzania

Breaking News :

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe @umwalimu amethibitisha Tanzania kuwa na Mgonjwa mmoja mwenye virusi vya Corona
ambaye aliingia Nchini kutokea nchini Ubeligiji
#DARMPYABLOGUPDATES Darmpya on Twitter

Jr
 
Tusipokee ndege!halafu tukae kwa kutulia mipaka ifungwe na elimu izidi kutolewa

Imeisha iyo
 
Tumezoea utani na kila kitu kumuachia “Mungu” hatakama ni jukumu letu kutatua jambo utasikia ‘Mungu atuepushe’
Ukiona BBC wanavoonyesha hatua za hizo nchi zingine zinavuchukua unaweza kusema pengine sisi tuko sayari nyingine ndio maana tume relax.

Washington juzi kuna mtu alikua Diagnose na hiyo kitu walifunga Metro, Shule zilizokua Karibu na barabara ya yeye alipopita pamoja na kufanya Fumigation ya mahali pote alipokanyaga.

Kwetu sisi ni maigizo kwenye Daladala kugusana lazima bado pantoni, Kariakoo misongamano daily. Kingine ni mtu akiwa na dalili au akiwa ametoka kwenye hizi nchi zenye haya milipuko inapaswa akae Quarantines kwa siku 21 kujua kama anao au la, pale JNIA wanapima temperature tu ikiwa normal unasepa kama unao dalili utaenda kuzipata nyumbani kwako.
Hapo ndipo tutakapoangamia
 
Bill Gates katabiri vifo milion kumi kama virus vya huu ugonjwa vikifanikiwa kupenya Africa.. Manake hatufanyi juhudi zozote zaidi ya matamko yasiyo na tija2.. Na mengi yakiwa ni ya kisiasa zaidi

Jr
Serikali ya magufuri badala ya kuweka jitihada ya kuzuia CoronaVirus yenyewe iko busy kudhibiti Chadema
 
Rais alikuwa anaongea na wananchi Mlandizi baada ya kumaliza.....Kanali Bernad Mlunga akamnongoneza kitu......Rais akarudia kuongelea Corona.....nilipoona tu hii incident nikajua muda umefika
 
Bill Gates katabiri vifo milion kumi kama virus vya huu ugonjwa vikifanikiwa kupenya Africa.. Manake hatufanyi juhudi zozote zaidi ya matamko yasiyo na tija2.. Na mengi yakiwa ni ya kisiasa zaidi

Jr
emoji769.png
Yaani serikali iko tayari kuruhusu Codiv19 iingie nchini kuliko kuruhusu Chadema kufanya mambo yake free bila kuzongwa na dola la ccm
 
Sasa huyu aliji-isolate mwenyewe wakati bado yuko sehemu ya huduma? Ina maana siye tukienda hotelini twaji-isolate? Sikujua hili. Corona imeleta jambo.
 
Naskia ving'ora tuu tangu saa Tisa barabara ya Airport Arusha to town sijui nn hiyo
 
Back
Top Bottom