Updates za Corona Tanzania

Updates za Corona Tanzania

Chenga zako zimeelekea kwenye mmea! Vipi unaompango wa kuilima nini maana hata nikisema chochote utasema ni mmea!! Hata Mimi naona umeula mmea tusubiri korona itukorone hakuna namna
I am a faithful user of the sacred weed... Kwanini niongope saaa3

Jr
 
I am a faithful user of the sacred weed... Kwanini niongope saaa3

Jr
Ha ha ndio maana muda mwengine unakujaga na tabiri za timu zako weed fc vs hirizi pumuzi fc😂 hapo matokeo lazima uone nne mbili..
 
Ha ha ndio maana muda mwengine unakujaga na tabiri za timu zako weed fc vs hirizi pumuzi fc hapo matokeo lazima uone nne mbili..
Weed never lie brother.. That's a prophetic leaf

Jr
 
.
IMG-20200306-WA0104.jpeg


Jr
 
Corona Virus: Watanzania hawata wasamehe ugonjwa huu ukifika Tz
Very nice Observation.

In case you were not aware, so far the government has taken everything into consideration.

The government has established 6 Corona Management Centers in those areas at risk.

In view of the above, three centers are located in Dar does namely ; Temeke, ilala and Kinondoni.

Two Centers In Kilimanjaro and One In Zanzibar. The government plans to increase number of Corona Management Centers in others areas across the borders.

Also. The Ministry of Health has instructed Medical Stores Department ( MSD) to ensure availability of N95 Face Mask and all essential medicines necessary for Combating COVID-9.

The Question of as in why we are not advised to shake our hands, this was taken as a matter of Preventative Measures, it should not be taken literally. It does not prevent from contacting the Virus.

The Chinese Medical Professional are wearing all protective gears yet are infected.

You can be sure that Not shaking hands is just Bull Shit but always let’s take things positively.

Thanks!

Jr
 
Mshana mawazo yako na maswali yako wengi tunayo lakini yamekosa majibu ila ukweli nikwamba Ccm wana majibu ndomaana wanawatuma kina Polepole watukejeli.


Natafuta uhusiano uliopo kati yakusalimiana kwa mikono na miguu uku Wachina na Waitaliano wakiingia na kutoka nchini bila ukaguzi wakina kufanyika. Nawaza kiTanzania kama Marekani wanadai wamepungukiwa vifaa vya ukaguzi sisi itakuwaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu ndio kila kitu "Mungu asipolinda mji wale wakeshao wafanya kazi bure"
Magonjwa mengi yanaandaliwa na wazungu ili kubalance uchumi wa dunia kwa kupunguza watu. Unaona Corona inaonekana kutokea China eneo ambalo linasemekana kuwa na watu zaidi bilion lakini ni Nchi inayotishia Dora ya Marekani na Ulaya kwa ujumla. Naamini ugonjwa huu una kinga na tiba kama ilivyo kwa UKIMWI,ALARIA KIPINDUPINDU nk.
Mtanisamehe nina la kuwahoji mnaosema Mungu anatulinda!
Mi naona kama hamna akili mnaosema hivyo!!
Kwani nyinyi mnalindwa ila waliopo china hawalindwi!!! Okay Hivyo Mungu wenu ni mbaguzi Kuna mahali analinda watu Kuna mahali anawaacha wafe!!!

Hivi Afrika kuwaza huwa mnatumia Nini..?
Hata Kama hakuna korona haimaanishi hakuna matatizo mengine mbona yapo mengi tu! Na wengine wanaona Bora kufa kuliko kuliko kuishi!!

Acheni upuuzi huyo MUNGU hana la kufanya juu ya matatizo yetu,moja Kati ya kosa ni kumtegemea Mungu akutatulie matatizo wakati vitabu vyake vimeandikwa Mungu ndo muumba wa kila kitu means na matatizo kayaleta yeye tupambaneni wenyewe hakuna kitakacho kutetea usife isipokuwa sisi wenyewe na kufa ni lazima isipokuwa ni muda tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom