Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Kweli, sijawahi kumuona mhindi akicheza au ktk uongozi wa timu kwenye ligi yeyote inayoeleweka duniani..

ebu endeleni na kibaka wetu wa kisomali, leo simba tv imeonyesha vizuri hayo ndo mafanikio ya timu tunayoyataka
 
Timu ya magazetini...YANGA...mnyama siku hizi anapiga tano tano..subirini

Endelea kuota ndoto hii hadi itimie! Kumfunga kibonde anayeshuka daraja imekuwa nongwa! Hivi hukumbuki Wajelajela ni moja ya timu ngumu katika ligi ya Bongo? Subiri uende huko Mbeya, jibu utalipata mwenyewe.
 
Watani mnalalamikia uwanja mbovu.. Hahahaha! Una tofauti gani na Kaunda na ule wa Kijitonyama?? Bint Zuberi kama namuona vile KANUNA hapo alipo. ANASONYA 2!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mpaka baada ya mechi za jana msimamo ulikuwa hivi...

541363_515332448525636_163186078_n.png
 
Mechi zinazofuata:

Mtibwa Sugar 24/10/12
- Kagera Sugar
Young Africans 24/10/12
- Polisi Morogoro
Coastal Union 24/10/12
- African Lyon
Azam 24/10/12
- Ruvu Shooting
 
Mechi zinazofuata:

Mtibwa Sugar 24/10/12
- Kagera Sugar
Young Africans 24/10/12
- Polisi Morogoro
Coastal Union 24/10/12
- African Lyon
Azam 24/10/12
- Ruvu Shooting
Hizi zote zimechezwa jana mkuu, za wikendi ijayo ni zipi?
 
Hizi zote zimechezwa jana mkuu, za wikendi ijayo ni zipi?

Jumosi hii inayokuja(27.10.2012):-
Yanga Vs JKT Oljoro - Sheikh Amri Abeid Arusha
Simba Vs Azam - Taifa
African Lyon Vs Kagera Sugar - Chamazi
Mgambo JKT Vs Tanzania Prison - Mkwakwani Tanga
Ruvu Shooting Vs Polisi Morogoro - Mabatini Mlandizi
 
Pamoja na matokeo ya mechi za tarehe 24 Oktoba, msimamo wa ligi unasomeka kama ifuatavyo:
Rnk Team MP W D L Pts
1 Simba SC 9 5 4 0 19
2 Azam 8 5 3 0 18
3 Young Africans 9 5 2 2 17
4 Coastal Union 9 4 4 1 16
5 JKT Oljoro 9 3 5 1 14
6 Kagera Sugar 9 3 4 2 13
7 Tanzania Prisons 9 3 4 2 13
8 JKT Ruvu 9 3 2 4 11
9 Ruvu Shooting 9 3 1 5 10
10 Mgambo JKT 9 3 1 5 10
11 Mtibwa Sugar 8 2 3 3 9
12 Toto African 9 1 4 4 7
13 African Lyon 9 2 1 6 7
14 Polisi Morogoro 9 0 2 7 2
Mhhh Mphamvu why Pamoja??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom