Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Mkuu mbona unatuchanganya, umetoka kutuambia sasa hivi bila bila na ni half time ina maana kipindi cha pili kishaanza?

Mkuu ungeangalia muda wa post! Goli ni moja bila mpaka sasa. Coastal union 1 mgambo jkt 0

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
 
Kikosi cha Yanga leo ni : Mustapha, Abdul, Joshua, Yondan, Haroub, Twite, Khalfan, Niyonzima, Buhanuzi, Kavumbangu, Mwasyika

sjakipenda kabisa hi kikosi sijui kama kitatupa matokeo ya kufraisha mwanzo wa ligi ndio unatwaribiaga yanga
 
sjakipenda kabisa hi kikosi sijui kama kitatupa matokeo ya kufraisha mwanzo wa ligi ndio unatwaribiaga yanga
Mkuu mimi nimesema ukaniambia nawaonea wivu, kwa nini hujakipenda sasa au sisi tusio wanayanga haturuhusiwi kutoa maoni?
 
Mkuu mimi nimesema ukaniambia nawaonea wivu, kwa nini hujakipenda sasa au sisi tusio wanayanga haturuhusiwi kutoa maoni?

mi sjakubishia kaka ila kavumbavu sio foward na heri angeweka 11st hi batezi,nwasika,oscar,canavaro,yondan,twite,kiza,chuji,niyonzima,bahanuzi,msuva
 
Wakuu, wana Yanga wenzangu mlio na matokeo ya mwisho yawekeni hapa jamvini, Wakuu wanayo haki ya kujulishwa. Hata kama tumefungwa yawekeni tu, huo ndiyo uana michezo. Over all, ligi ndo imeanza, bado mbichi!
 
mi sjakubishia kaka ila kavumbavu sio foward na heri angeweka 11st hi batezi,nwasika,oscar,canavaro,yondan,twite,kiza,chuji,niyonzima,bahanuzi,msuva
Samahani mtani, nilikuchanganya na Mandieta.
 
Back
Top Bottom