Bado 2 ile ile.Hongera zao watani,nasikia wamepiga la 3....A. Lyon siku zote mdebwedo kwa mnyama
Bado 2 ile ile.Hongera zao watani,nasikia wamepiga la 3....A. Lyon siku zote mdebwedo kwa mnyama
Haya wakuu....
Ni msimu mwingine tena,ligi kuu ya VodaCom imeanza rasmi leo....
Mojawapo ya mechi za ufunguzi leo ni hizi:
Prisons Vs Yanga
Simba Vs African Lyon
Kagera Sugar Vs Azam FC.....N.k
kikosi cheni kizuri labda mshindwe wenyewe.Kikosi cha Yanga leo ni : Mustapha, Abdul, Joshua, Yondan, Haroub, Twite, Khalfan, Niyonzima, Buhanuzi, Kavumbangu, Mwasyika
Sokoine ni dakika ya 40 sasa
Prisons 0-0 Yanga
Huyu kocha wenu naye akili yake inawaza kujilinda tu, kuna haja gani ya kupanga natural defenders 6?Kikosi cha Yanga leo ni : Mustapha, Abdul, Joshua, Yondan, Haroub, Twite, Khalfan, Niyonzima, Buhanuzi, Kavumbangu, Mwasyika
kikosi cheni kizuri labda mshindwe wenyewe.
Mkuu mbona unatuchanganya, umetoka kutuambia sasa hivi bila bila na ni half time ina maana kipindi cha pili kishaanza?Coastal union 1 Mgambo jkt 0 pasi kutoka kwa jerry santo mfungaji Danny
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
Huyu kocha wenu naye akili
yake inawaza kujilinda tu, kuna haja gani ya kupanga natural defenders
6?
Wivu huo!Huyu kocha wenu naye akili yake inawaza kujilinda tu, kuna haja gani ya kupanga natural defenders 6?
Mkuu mkitumia huu mfumo tarehe 03 oktoba tutawagonga zaidi ya tano.Ni mfumo huuhuu ndio umetupa Kombe la Kagame ambalo watani wamelikosa mwaka wa pili sasa...
Mwasyika pamoja na kwamba ni natural right back anacheza kama kiungo mshambuliaji,anapanda na kushuka...
Mbuyu Twite anacheza kama defensive midfielder...Kama ilivyokuwa kwa Alex Song alivyokuwa Arsenal....
Namuona Hamis Kiiza 'Diego' anapasha hapa......
ha ha ha ha ha ha, wivu utoke wapi hamjapata goli hata moja mnalo kuanza na wanajeshi mchezo inabidi mkaze kama mnataka kushinda.Wivu huo!
Tuachie yanga yetu bana wewe vp?
Hapo ni mchaka mchaka wa 5-1-2-2.
yanga fanya mambo hapo mbeya.