Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Dak40 kipindi cha pili bado Simba wanaongoza kwa goli moja na refa katunyima penati.
 
Ni mchezaji gani aliyekosa penalty? Itakuwa ni mara ya pili mnyama anakosa penalty. Something must be done.

Pamoja na yote...HONGERA SIMBA, DAIMA MBELE! TUANGALIE MBELE KWENYE MECHI ZIJAZO. Tusirudie kosa.
 
Ni mchezaji gani aliyekosa penalty? Itakuwa ni mara ya pili mnyama anakosa penalty. Something must be done.

Pamoja na yote...HONGERA SIMBA, DAIMA MBELE! TUANGALIE MBELE KWENYE MECHI ZIJAZO. Tusirudie kosa.

sio bongo tu hata ulaya msimu huu wachezaji wanakosa penati ni noma..
 
Safi sana. We are back (baada ya draw 2 za ugenini). Tuwaunge marafiki zetu Coastal U kwa hali na mali kesho waishughulikie Yanga (kama walivyotufanyizia kwenye mechi ya Toto)
 
Simba ukinipa raha baada ya Fc Barcelona jana kuniwekea wknd yangu iende vema safi sana machama yangu. Big up and keep it up
 
Back
Top Bottom