Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Baada ya dk.90 matokeo vp?? Tupe ripoti walioko karibu na eneo la tukio au vyombo vya mawasilio
 
...Hizi klabu za bongo kama sirikali yao tuuu, fiksi mingi kila kona ubunifu na huduma ziro. Hivi zinashindwa nini kuanzisha chat rooms/ live game threads ktk web sites zao ili wapenzi na wanachama wawe wanafuatilia matokeo ya mechi live? Tena wale wanaokuwa wapo uwanjani na simu zao wanaweza kuwa wanapo-st hata video clips wakati game zinaendelea.

Kelele za mkonga sijui wa taifa, zimeanza miaka na huyo msanii JK alishatamba kuwa sasa mitandao itakuwa bwerere mpaka huko Nansio... lakini timu hizi zimejaa wasanii km yeye tu, Rage, Hasanoo, sijui Kifukwe, huyo wakili, Rupia....ndo maana yale yale. Unauza players dola laki lakini web site hata version ya kimombo kidogo hakuna sasa wanaotaka kuanglia kilugha huko nje kama wanatafuta players ni nani...!! Updates zenyewe mpaka kuifunga yanga tuuu, why, whyyyy...?????
 
Hii ligi inaboa sana yaani TFF inazipangia yanga na simba matokeo, kabla ya mechi za leo zote zimecheza mechi 2 wakati timu nyingine zimecheza mpaka mechi 5. huu ni uonevu kwa timu ndogo namna hii wanaua ushindani. Hawaoni ligi za ulaya mfano Hispania? hebu tujifunze tuweze kucheza soka lenye ushindani. Tunalalamika timu zetu hazifanyi vizuri hivi ni baadhi ya vikwazo vinavyodumaza soka. Nawasilisha
 
..Soma au fuatilia taratibu za timu zenye players zaidi ya 4/5 ktk timu ya taifa. Kama ni kulaumu labda ulaumu makocha wa Stars..... kuendelea kuchagua watu kama kijeba Nsajigwa, ambaye hata juzi ndiyo alikuwa uchochoro wa Algeria !! Huwezi kuniambia kuwa hakuna beki mbili Tanzania zaidi yake....

Hii ligi inaboa sana yaani TFF inazipangia yanga na simba matokeo, kabla ya mechi za leo zote zimecheza mechi 2 wakati timu nyingine zimecheza mpaka mechi 5. huu ni uonevu kwa timu ndogo namna hii wanaua ushindani. Hawaoni ligi za ulaya mfano Hispania? hebu tujifunze tuweze kucheza soka lenye ushindani. Tunalalamika timu zetu hazifanyi vizuri hivi ni baadhi ya vikwazo vinavyodumaza soka. Nawasilisha
 
Mbona ligi hii yatajwa matokeo ya Simba na young tu timu nyingine hazichezi tarehe hii?kuna game kama
Police Dom vs Ruvu Shuting
Jkt Oljoro vs Azam Fc
Coastal Union vs Moro United
matokeo please
 
Mbona ligi hii yatajwa matokeo ya Simba na young tu timu nyingine hazichezi tarehe hii?kuna game kama<br />
Police Dom vs Ruvu Shuting<br />
Jkt Oljoro vs Azam Fc <br />
Coastal Union vs Moro United<br />
matokeo please
mechi ya azam haikuchezwa, uwanja ulikuwa unatumika kwa shughuli nyingine
 
Back
Top Bottom