sasa ni kipindi cha pili, je wekundu wa msimbazi wanaendeleaje huko tanga wanasimba wenzangu. Yanga msichukie kama anaongoza ama vipi nijulisheni tu kwani hayo ni mambo ya uwanjani tu.
<br />
<br />
Naona wameanza kuzinduka, baada ya kufungwa mechi tano mfululizo leo wametoa draw mechi inayofuata wanaweza kushinda hongera watani yebo yebo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.