Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Haiwezekani,wakianza cylinders zao zote mambo yatakuwa ok.Yanga wakishuka daraja ndio utakuwa mwisho wa ligi yenyewe
Haiwezekani,wakianza cylinders zao zote mambo yatakuwa ok.Yanga wakishuka daraja ndio utakuwa mwisho wa ligi yenyewe
hii mechi inachezwa Arusha na jana kulikuwa shughuli za kidini ambao walishaomba kibali tangu mwezi wa saba..mechi hii itachezwa leo yaani oljoro na azam..Bongo bana,wameshaanza kuchezea gwaride nini huko Chamazi
yanga 1 na Ruvu shooting 1...
<br />yanga 1 na Ruvu shooting 1...
Kwa kweli kiwango cha Yanga kipo chini sana.....yanga 1 na Ruvu shooting 1...
Kushuka daraja haiwezekani,sema wasije wakapoteza ubingwa.....mpira umekwisha yanga 1 na Ruvu 1..yanga angalieni msishuke daraja..lol
<br />Kushuka daraja haiwezekani,sema wasije wakapoteza ubingwa.....<br />
<br />
Nina uhakika watabounce back mara tu watakapowalipa wachezaji na lile bundi la klabuni litakapoondoka....
pamojasana mzee wa busara..Kwa kweli kiwango cha Yanga kipo chini sana.....<br />
<br />
Timbe sijui atatoa sababu gani leo maana mwanzo alianza kusema majeruhi wengi,walipopona ikaja sababu ya kiwanja(cha Jamhuri) ni kibaya/kibovu.....Haya leo wamecheza Taifa na kutoka sare sijui atatoa sababu gani hata....
<br />Kushuka daraja haiwezekani,sema wasije wakapoteza ubingwa.....<br />
<br />
Nina uhakika watabounce back mara tu watakapowalipa wachezaji na lile bundi la klabuni litakapoondoka....
<br />Mkuu CPU nakuona upo lakini uko kimya, pole sana mkuu.