Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
kesho mkuu tuna wako wachezaji wetu 2 mhimu na mechi ya mwisho kucheza na azam walitufunga goli 3..je kesho unasemaje tutatoka..Watani poleni, karibuni msimbazi kuna nafasi bado zipo mnaweza kuwa washabiki kwa muda wakati timu yenu inatengemaa, mnatia huruma mmecheza mechi tisa bila ushindi.