Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Update:
Simba 1:2 Azam (82)
Yanga 1:2 Mgambo (80')
Prisons 0:1 Mbeya (56')
Kageqga 0:0 Ruvu (56')
 
Simba team, hebu achia mabao mengine 4 ili fainal scores ziwe 5-1, vinginevyo yeboyebo watachukue kombe. Sisi Simba hatuna cha kupoteza, waachie tu Azam watufunge goli nyingi kadri watakavyoweza ili tuwatibulie yeboyebo. Kwanza ilitakiwa tufungwe hata goli 6-0 kama Arsenal. Ni nani huyo mjinga aliyejipendekeza kufunga hilo goli la Simba?
Halafu kila siku mnalialia TFF majanga.kwa mawazo hayo hata Rais wa TFF awe baba yako mzazi soka letu litaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu.
 
Ni kweli hatuna cha kupoteza lakini angalau basi tuishie nafasi ya nne, maana kwa hali hii kuna hatari ya kuporomoka hadi ya tano au ya sita.

Hatushuki mkuu, kwa Yeboyebo yenyewe tuna point zetu....ila kiukweli kimoyomoyo inauma kumaliza nafasi ya tano au sita lakini inauma zaidi kuwa mgongo wa Yeboyebo kutwaa ubingwa
 
Kaseja ndiye anayetakiwa kuifungia Yanga magoli? ila Bahanuzi ndio ana bahati na Yanga?

Angalia game alizocheza Kaseja na alizocheza Dida,leo naskia goli la kwanza katoa boko
 
Halafu kila siku mnalialia TFF majanga.kwa mawazo hayo hata Rais wa TFF awe baba yako mzazi soka letu litaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu.

Mkuu haya ni maneno tu ....unakumbuka bonge la pasi la Stevie G kwa Drogba lililoipa Chelsea Ubingwa at the expense of Man U??.....Achana kabisa na upinzani wa soka

Believe me hata nyie Yanga mngekuwa kwenye position tuliyoko sisi mngelegeza tu
 
Hatushuki mkuu, kwa Yeboyebo yenyewe tuna point zetu....ila kiukweli kimoyomoyo inauma kumaliza nafasi ya tano au sita lakini inauma zaidi kuwa mgongo wa Yeboyebo kutwaa ubingwa


Mkuu wewe acha tu, mimi kuna vitshirt vyenye nembo ya simba sikumbuki mara ya mwisho kuvivaa.
 
Back
Top Bottom