Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Kagera S 0-0 Ruvu S "HT"


Mbeya C 1, TZ Prisons 0, "HT"


Mgambo JKT 2 - 1 Young Africans


Azam 2, Simba 1.

safi sana! simba timu yangu endelea kuachia hayo magoli ili tuwakomoe yeboyebo.
 
Nipo zenji..mashabiki wa simba niliokaa nao hapa, wanafurahia kufungwa! ili mradi yanga awe ktka mazngra magumu, wanasahau misimu inakatika timu yao haichezi mechi za kimataifa.

Mkuu kwani Simba akimfunga Azam atacheza mechi za Kimataifa??

Ukweli ni kuwa Simba hana cha kupoteza, ashinde au asishinde...Sana sana atakuwa na cha kupoteza akishinda maana anaweza jikuta kambeba Yanga kuelekea ubingwa....aaaghh acha tufungwe kuliko Yanga awe bingwa
 
Kagera S 0-0 Ruvu S "HT"


Mbeya C 1-0 TZ Prisons

Mgambo JKT 2-1 Young Africans

Azam 2-1 Simba
 
tulienda mkwakwani tukapigwa mkatuzodoa haya sasa kazi kwenu watoto wa manji
yondani kauza gemu
 
Mkuu kwani Simba akimfunga Azam atacheza mechi za Kimataifa??

Ukweli ni kuwa Simba hana cha kupoteza, ashinde au asishinde...Sana sana atakuwa na cha kupoteza akishinda maana anaweza jikuta kambeba Yanga kuelekea ubingwa....aaaghh acha tufungwe kuliko Yanga awe bingwa
kwamba simba imepoteza muelekeo kama man u!ashinde asishinde atabaki kuwa nafasi ya 4!logaloga amewekeza kwenye mechi ya yanga!
 
Mkuu kwani Simba akimfunga Azam atacheza mechi za Kimataifa??

Ukweli ni kuwa Simba hana cha kupoteza, ashinde au asishinde...Sana sana atakuwa na cha kupoteza akishinda maana anaweza jikuta kambeba Yanga kuelekea ubingwa....aaaghh acha tufungwe kuliko Yanga awe bingwa
Ni kweli hatuna cha kupoteza lakini angalau basi tuishie nafasi ya nne, maana kwa hali hii kuna hatari ya kuporomoka hadi ya tano au ya sita.
 
Simba tuna hali ngumu,hata hivyo bora ichukue ubingwa azam kuliko yebo yebo hao.
 
Back
Top Bottom