Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,655
Tenga la nyanya au la maembe?
Tenga la mpira ..
Tenga la nyanya au la maembe?
ya yanga na mgambo
Tenga la nyanya au la maembe?
Yanga walipofunga tu SSc wanaachia?!
Asante.1. Juma Kaseja -29
2. Mbuyu Twite - 6
3. Oscar Joshua - 4
4. Nadir Haroub "Cannavaro" -23
5. Kelvin Yondani -6
6. Frank Domayo -18
7. Saimon Msuva - 27
8. Hassan Dilunga -26
9. Didier Kavumbagu - 7
10. Mrisho Ngasa 17
11. Emmanuel Okwi -25
Subs:
1. Ally Mustapha "Barthez" -1
2. Juma Abdul -12
3. David Luhende -3
4. Athumani Idd "Chuji" - 24
5. Nizar Khalfan -16
6. Hamisi Kizza - 20
7. Hussein Javu - 21
sio kidogo wanabebwa sana
simba tumepakatwa
dk 62 azam 2 - 1 simba
Simba kapigwa la 2
du kweli leo hali imetukalia vibaya!!Mgambo wanapata penalt, kelvin yondan kamshika mtu kwenye box.
Poa tu, cha muhimu pointi tatu zipatikane, full stop.