Noooo! Timu ipo ila hujuma tu!! Rage is killing your team guys! Mara awaite Mambumbumbu! Mara ale hela za Okwi etc watu wanakata tamaa!!!...nachelea kusema hapa SIMBA hatuna timu kabisa.
ilikuwa imepanda mpaka wapi? mtani...
Supported with sympathy.
Rip rage
..........SIMBA ikikutana na AZAM FC inabidi ikubali kuiachia Pointi zote 3 bila kikwazo ili itangaze Ubingwa Live.
Hamisi Tombwe kasawazishaKona inapigwa kwnda Simba,ni kona ya kwanza,simba wanakataa
washazoea hao..na mpira umeisha. simba 0 coastal 1 full time
RIP Rage
bwete na wewe...
....hilo swali inabidi nimfikishie moja kwa moja KALI ONGALA na JAPHARY IDD MAGANGA watatupa muelekeo; sisi hatupendi kugan'gania wakati hatuendi kokote.hao azam watatupa shing ngapi tulipe mishahara