Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    10.4 KB · Views: 176
Huu uzi leo ni dolo sana, Simba kapoteza PR kwa mashabiki wake. 'Bila kuwa na Yanga na Simba madhubuti mpira wa Bongo utayumba' (Matale, 2014).
 
Mwee simba kwisha hbr yao

Azam akija huko Mbeya kucheza na MCC hakikisheni anafungwa hata kama ni nje ya uwanja. Hatima ya ubingwa wa Yanga ni matokeo ya MCC na Azam. Simba kwa alivyochoka atafungwa na Azam. Hamisi Kiiza alikosea mno kukosa ile penati, kama tutakosa ubingwa basi mchawi ni Kiiza. Nadhani MCC hawatatuangusha, go go MCC.
 
Lakuvunda Hilo,.......siamini Kama watatoka na loiote Huko atakama ni tawi Lao!
 
Back
Top Bottom