Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Kuna mtu mtaani kwetu anaumwa saa hii. Hotuba ya katiba:tape: Arsenal 6:tape: Na leo Simbwa:tape: Sasa hivi roho inafanya:flypig:

alafu ukijumlisha na ndege ya australia mpaka leo haijaonekana ndio kabisa roho inakua kipepeo :flypig:
 
Team ya Wananchi ilivyoishushia dhahma team ya jeshi
 

Attachments

  • 1395591417089.jpg
    1395591417089.jpg
    63.5 KB · Views: 42
mkuu mpaka uchaguzi ufanyike ndiyo tutarudi mchezoni hivyo nafasi ya nne inatuhusu...

Mkuu hata nafasi ya nne kuipata ni bahati, bado tuna mechi ngumu mno, Kagera Sugar, Azam halafu Yanga na Ashanti anayekwepa kushuka daraja. Kagera Sugar tumewazidi pointi nne tu halafu bado tuna mechi nao kiasi kwamba wakitufunga tu basi tumekwisha.
 
Mkuu hata nafasi ya nne kuipata ni bahati, bado tuna mechi ngumu mno, Kagera Sugar, Azam halafu Yanga na Ashanti anayekwepa kushuka daraja. Kagera Sugar tumewazidi pointi nne tu halafu bado tuna mechi nao kiasi kwamba wakitufunga tu basi tumekwisha.

'Kuna siku kila mtu ataishangilia Simba' (Julio, n.d.). Hiyo siku imefika, siku Simba inacheza na Azam, Yanga tutaishangilia Simba, msituangushe tu, inshaallah mtashinda.
 
Azam tutampakata simba kama 4 hivi.


Dah yaani we shabiki wa arsenal na simba ni dose tu!
 
'Kuna siku kila mtu ataishangilia Simba' (Julio, n.d.). Hiyo siku imefika, siku Simba inacheza na Azam, Yanga tutaishangilia Simba, msituangushe tu, inshaallah mtashinda.

Usije ukashangaa siku hiyo mashabiki wa Simba nao wakawa wanaishangilia Azam, inaweza kuwa mara ya kwanza upande wa kulia wa uwanja wa Taifa ukashabikia Simba na upande wa kushoto ukashabikia wapinzani wao.
 
Last edited by a moderator:
Lakini jamani kiwango kinacho onyeshwa na simba katika soka nicha hali ya juu sana..sijui kwa nn tuna fungwafungwa.?
 
Kama Man u tu! Itawachukua muda hadi kupata hata nafasi ya 3

AZAM,MBEYA CITY NA KANDAMBILI HAWATOACHA HIYO TOP3.

Napenda kuona Yanga ikichukua ubingwa na Simba ikiambulia angalau nafasi ya pili lakini sipendi kabisa Simba kuwa nafasi ya nne. Kwa mwenendo huu ligi imekosa msisimko kama ilivyokuwa kwenye Mapinduzi Cup baada ya Yanga kujitoa.
 
Back
Top Bottom