Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
hivi we chachu ombara uko hai kweli? kama uko hai kwanini hubadilishi msimamo wa ligi na mabadiliko ya points?
 
Toka Mtukanwe mna mwenyekiti wenu hata timu mmeisusa.

Nimeamua kuwaanzishia uzi huu.

walioko uwanjani mtujuze,pia mnaosikiliza Tbc Taifa.
 
Hawa CU siwaelewi kabisa, walimbania Yanga wakatoa kwa Azam tena kwa kishindo. Leo tena wanagoma kutoa kwa Simba, sijui wana maana gani. Huenda walichukua chao kutoka kwa Azam.
 
Back
Top Bottom