Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Mpira ni half time.kuna mtoto mmoja hapa ni ball girl,ana mkia wa hatari ananipotezea concetration
 
nashukuru, even though mi siyo Madam ni Sir

Ok Mkuu. Kwa kuwa kuna Wana JF wenye majina na avatar za kike ilhali ni wanaume and vice versa, nilitumia Sir or Madam ili kuepuka kukosea jinsia yako Mkuu.
 
Wakuu wangu Katiba Mpya imezingua na tunaachana na stress zake.Sasa pamoja na mimi kuwa Chalinze kwny kampeni lakini nitawalea LIVE game ya Yanga na Rhino Gari ya Yanga imeingia uwanjani,watu wanalipuka hapa.inapaki na kocha anashuka,akifuatiwa na Bartez,Chuji,Yondani,Ngasa etc.heeh mbona nusu ya timu hii ni SIMBA ya zamani.SIMBA CHUO CHA MAFUNZO.Updates!Yanga 1:Rhino 0

Na jumatatu ijayo viashiria vya kura wazi ni vikubwa
 
Back
Top Bottom