Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Mkuu Box 2 na Makoye Matale inasemekana kuna kigogo mmoja hivi kawaahidi!
Ingawa tetesi zinasema huyo kigogo ni kama geresha tu but anayetoa cash ni mdau wa Azam FC!!na ata kambi ya Rhino hapa Dar kabla ya kwenda Tabora inasemekana kila jioni kulikua na gari la kambini ya Azam liki supply maziwa fresh na mikate pale kwa Twalipo JKT Mgurani walipoa wamecamp Rhino!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Box 2 na Makoye Matale inasemekana kuna kigogo mmoja hivi kawaahidi!
Ingawa tetesi zinasema huyo kigogo ni kama geresha tu but anayetoa cash ni mdau wa Azam FC!!na ata kambi ya Rhino hapa Dar kabla ya kwenda Tabora inasemekana kila jioni kulikua na gari la kambini ya Azam liki supply maziwa fresh na mikate pale kwa Twalipo JKT Mgurani walipoa wamecamp Rhino!!

Ashindwe na alegee, Simba alishashindwa kuifuatafuata Yanga sembuse Azam, ataishiwa fedha, Yanga timu yangu, timu yetu, timu ya Wananchi haikamatiki.
 
Last edited by a moderator:
Yanga mna Bartez, Chuji, Yondani, Ngasa, Okwi, Kaseja, Chuji, Dida sisi wenu tuliye naye ni Kiemba tu!
 
Back
Top Bottom