Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
- Thread starter
- #2,261
Azam bado wana mechi ngumu mkuu....Wana mechi na Mbeya City (Sokoine) na pia wana mechi na Simba, bila kusahau timu isiyotabirika ya Mgambo FC...Job finish , Azam Bingwa
Ni mapema sana kusema Azam ni bingwa....