weee! Wakaze nini?? Ntakupiga na chupa ya grands!!
Msimu mbaya kwetu...kisa rage anapigania maslahi binafsi
Ahahaha! JF bana!!Mie siyo shabiki,bali ni reporter kwa niaba ya JF.
Haha nilishawaambia huyu simba sio yulee, Simba huyu ni chotara
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna mdau alisema eti Rage akiwa bungeni hathubutu kuongea hata neno moja lakini akiwa simba anachoonga.Msimu mbaya kwetu...kisa rage anapigania maslahi binafsi
hahaha! We kwenda wee!! Emu niende zangu Misri miye! Aagh
Mpira kwishney! Bila bila!
Kwii.....Mie siyo shabiki,bali ni reporter kwa niaba ya JF.
hahahaa hawa ndiyo simba walisema mbeya city nguvu ya soda na itashuka daraja raundi ya 2
Puresha hii imekwisha bado puresha kubwa ya Alex Kizanda. AL AHLY VS YANGA
...let me think on that.Ahahahahaha.
Hamia airtel.
Naona wamesha pata bao mda wowote na imefanikiwa kushinda ushindi wao wa droo.Ni half time si simba wala prisons imeona lango la mwenzie.
Updates...kipindi cha pili kimeanza.
Simba wanashambulia sana lango la prisons.mda wowote simba watapata bao hapa